Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Kizinga ana kwa ana au Cha kwenye simu?

Sinaga mbinu kamili, ila kila mbinu ntakayokuja nayo huwa na matokeo chanya.
hahahahah kwa kweli aisee hakuna formula maalumu muhimu inategemea mazingira yaliyopo, mpiga kizinga kajaje, mood iliyopo wakati huo hata status na mahusiano uliyo nayo na mpiga kizinga. Kwa mfano jinsi unavyomtoka baamedi ni tofauti na mchepuko au mzazi mwenzio mliyetengana, hata miujiza ya messi inategemea na ukuta wa timu pinzani
 
Nakumbuka wakati nipo chuo nilikuwa nimechacha balaa!
nilikuwa naishi kwa vizinga tu
hahahaha kuna jamaa alishawaacha jamaa bondi baa wazee wa vizinga, alikuwa baa anakunywa wakatokea akawakaribisha vizuri na kama kawaida yao akawaagizia na yeye akaendelea alivyotosheka kuna usanii akafanya kama anainuka kidogo na bia yake imebaki nusu ndio akaachia manyoya jamaa bia walizokunywa ziliwatokea puani maana hata katika simu ilikuwa hapatikani bilabila
 
hahahaha kuna jamaa alishawaacha jamaa bondi baa wazee wa vizinga, alikuwa baa anakunywa wakatokea akawakaribisha vizuri na kama kawaida yao akawaagizia na yeye akaendelea alivyotosheka kuna usanii akafanya kama anainuka kidogo na bia yake imebaki nusu ndio akaachia manyoya jamaa bia walizokunywa ziliwatokea puani maana hata katika simu ilikuwa hapatikani bilabila
uyo safi sana
Kuna watu utashanga hujamwita bar kakukuta anagiza kwa bill yako wakati huo haunamazoea ya kunywa nae ni kakufamu tuu kupitia kazi zako pengine
Dawa mujarabu kwa kizinga Kama jicho
 
Back
Top Bottom