rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854
Nimejua kucheka sanaaMe nshawai kushuhudia Niko bar ,then pembeni amekaa msela na demu. .wameagiza kitimoto sasa katkati ya story jamaa akamuuliza demu
Vipi tukitoka hapa tunaenda home?
Demu akagoma akasema siku ingine ,bhac yule jamaa akaongea kwa sauti Hiyo kitimoto funga ntaenda kulia nyumbanidoh! Dada aliona aibu Sana lakini muhuni alikua serious
Kuna watu wagumu Sana kwenye Pesa zao












