Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Me nshawai kushuhudia Niko bar ,then pembeni amekaa msela na demu. .wameagiza kitimoto sasa katkati ya story jamaa akamuuliza demu
Vipi tukitoka hapa tunaenda home?
Demu akagoma akasema siku ingine ,bhac yule jamaa akaongea kwa sauti Hiyo kitimoto funga ntaenda kulia nyumbani doh! Dada aliona aibu Sana lakini muhuni alikua serious
Kuna watu wagumu Sana kwenye Pesa zao
Nimejua kucheka sanaa
 
Me nshawai kushuhudia Niko bar ,then pembeni amekaa msela na demu. .wameagiza kitimoto sasa katkati ya story jamaa akamuuliza demu
Vipi tukitoka hapa tunaenda home?
Demu akagoma akasema siku ingine ,bhac yule jamaa akaongea kwa sauti Hiyo kitimoto funga ntaenda kulia nyumbani doh! Dada aliona aibu Sana lakini muhuni alikua serious
Kuna watu wagumu Sana kwenye Pesa zao
Huyu ndio Kauzu zaidi ya dagaa.
 
Suala la kumkopesha mtu ni Moyo wa mtu ofcoz kuna Watu huwaga siwezi kuwaomba hata kama najua ana helaa maana Kumsaidia mtu sio hulka yake yani hata kama anacho kikubwa walahi atakwambia hana...!! So kabla ya kumkopa mtu angalia mazingiraa. Mimi nishawahi mpa mtu 30K chap kisela tu na kiukweli nilijua haitarudi sema ndo vile ushkaji sema akaharibu akaja kutaka tena 50k aisee Nkasema kuna watu aibu hawana.
 
Me nshawai kushuhudia Niko bar ,then pembeni amekaa msela na demu. .wameagiza kitimoto sasa katkati ya story jamaa akamuuliza demu
Vipi tukitoka hapa tunaenda home?
Demu akagoma akasema siku ingine ,bhac yule jamaa akaongea kwa sauti Hiyo kitimoto funga ntaenda kulia nyumbani doh! Dada aliona aibu Sana lakini muhuni alikua serious
Kuna watu wagumu Sana kwenye Pesa zao

 
Me nshawai kushuhudia Niko bar ,then pembeni amekaa msela na demu. .wameagiza kitimoto sasa katkati ya story jamaa akamuuliza demu
Vipi tukitoka hapa tunaenda home?
Demu akagoma akasema siku ingine ,bhac yule jamaa akaongea kwa sauti Hiyo kitimoto funga ntaenda kulia nyumbani doh! Dada aliona aibu Sana lakini muhuni alikua serious
Kuna watu wagumu Sana kwenye Pesa zao
aisee!
 
Suala la kumkopesha mtu ni Moyo wa mtu ofcoz kuna Watu huwaga siwezi kuwaomba hata kama najua ana helaa maana Kumsaidia mtu sio hulka yake yani hata kama anacho kikubwa walahi atakwambia hana...!! So kabla ya kumkopa mtu angalia mazingiraa. Mimi nishawahi mpa mtu 30K chap kisela tu na kiukweli nilijua haitarudi sema ndo vile ushkaji sema akaharibu akaja kutaka tena 50k aisee Nkasema kuna watu aibu hawana.
mkuu ungekwepa icho kizinga kwa kumwambia unamarejesho
 
Me nshawai kushuhudia Niko bar ,then pembeni amekaa msela na demu. .wameagiza kitimoto sasa katkati ya story jamaa akamuuliza demu
Vipi tukitoka hapa tunaenda home?
Demu akagoma akasema siku ingine ,bhac yule jamaa akaongea kwa sauti Hiyo kitimoto funga ntaenda kulia nyumbani doh! Dada aliona aibu Sana lakini muhuni alikua serious
Kuna watu wagumu Sana kwenye Pesa zao
Jamaa alijihami kwa kizinga kijacho
 
Back
Top Bottom