Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Tabu yote ya nini mpaka ukose amani kisa kuwafurahisha watu? Ukweli ndio utakuweka huru,muambie mtu ukweli..yaani umpange mtu kisa tu unaona aibu kumuambia ukweli? Kama huna sema kweli..acha kona kona hizo ni tabia za kiswahili.
 
Kuna ka X kangu kametoka kumzalia jamaa mtoto afu kamkimbia, Sasa kwakua eti mimi nilikua nachat nako vizurii tu sasa hivi kananiganda nimpe vijihela sijui zawad za mtoto...

SASA PICHA linaanza kamenitumia msg nimejifungua nikakachunia, kakatuma siku nyingine mtoto anahitaj zawad nikamwambia asubiri 40, iyo 40 imefika piga wee wapi tuma msg wap, siku iyo nikapokea simu yake eti Baba mtoto sasa mbona kimya nikamuambia yani hapa nilipo nimefulia hata dk za kupiga mtandao wa nyumban sina achilia mbali mitandao yoteee.... nikakasikia kamecheka nami nikakazia bati bati dadesi
 
Kuna ka X kangu kametoka kumzalia jamaa mtoto afu kamkimbia, Sasa kwakua eti mimi nilikua nachat nako vizurii tu sasa hivi kananiganda nimpe vijihela sijui zawad za mtoto...

SASA PICHA linaanza kamenitumia msg nimejifungua nikakachunia, kakatuma siku nyingine mtoto anahitaj zawad nikamwambia asubiri 40, iyo 40 imefika piga wee wapi tuma msg wap, siku iyo nikapokea simu yake eti Baba mtoto sasa mbona kimya nikamuambia yani hapa nilipo nimefulia hata dk za kupiga mtandao wa nyumban sina achilia mbali mitandao yoteee.... nikakasikia kamecheka nami nikakazia bati bati dadesi
Hii njia nimeipenda we unakua mzee wa kupostponed kizinga tuuh
Hadi anyoshe mikono
 
Tabu yote ya nini mpaka ukose amani kisa kuwafurahisha watu? Ukweli ndio utakuweka huru,muambie mtu ukweli..yaani umpange mtu kisa tu unaona aibu kumuambia ukweli? Kama huna sema kweli..acha kona kona hizo ni tabia za kiswahili.
mkuu ivi ulishawahi nyatia binti maini akanza kinzinga na lengo hujatimiza.
 
hapo akuna longolongo lazima uso umshuke Kama mbuzi wa albadil
Nimekuwa naitumia sana njia hii kuwakwepa ndugu wapiga mizinga ndugu atakufuata anaazima ata laki mambo yake yamekwama ukiampa harudishi lakini vile vile utakuta alichokifanya hakionekana mwisho tena anarudi kuomba tena mambo yameyumba
Sasa hivi wengi wa hivi nimeshawaambia biashara yangu naiendesha kwa mikopo muda wote nawaza rejesho
 
Nimekuwa naitumia sana njia hii kuwakwepa ndugu wapiga mizinga ndugu atakufuata anaazima ata laki mambo yake yamekwama ukiampa harudishi lakini vile vile utakuta alichokifanya hakionekana mwisho tena anarudi kuomba tena mambo yameyumba
Sasa hivi wengi wa hivi nimeshawaambia biashara yangu naiendesha kwa mikopo muda wote nawaza rejesho
Njia safi sana haina lawama na inalinda pato la mtu mmojammoja.
Pamoja katika kutawanya vizinga kiongozi
 
Juzi nilikua bar Fulani nakula kitimoto form six. Pembeni yangu amekaa jamaa anaongea na simu kwa sauti na mabinti wawili.
Akawa anasema and I quote ". Niwekee milioni moja, laki tatu na tisini" unquote, mezani kwake Kuna soda za mabinti.
Mara akawaambia, ngoja nikatoe pesa hapo nje. Wakati natoka nilimuona kwenye boxer anapepea sio polepole
 
Juzi nilikua bar Fulani nakula kitimoto form six. Pembeni yangu amekaa jamaa anaongea na simu kwa sauti na mabinti wawili.
Akawa anasema and I quote ". Niwekee milioni moja, laki tatu na tisini" unquote, mezani kwake Kuna soda za mabinti.
Mara akawaambia, ngoja nikatoe pesa hapo nje. Wakati natoka nilimuona kwenye boxer anapepea sio polepole
hii mbinu inaitwa koftedi
 
Back
Top Bottom