Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Wapangua ''Vizinga'' tupeane mbinu mbalimbali

Nahakikisha ninakua na mkoba wako sambamba

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoba!!!
Pole sana.
Sibebi hata henganjifu nini mkoba.
Kidate cha kwanza tena sikujui nibebe mkoba, naweka nini...kanga au kitenge!
Kama ni make up, nalambisha foundation au powder kwenye sponchi then nakiweka ndani ya bra.
Nauli ya kurudia inakaa ndani ya bra.
Na kama itatumika, bodaboda nitamlipa nikifika nae home.
Au kama kuna vichochoro, najipigia zangu Amdha Kanoon mdogo mdogo mpaka stendi.
Bra ndo pochi langu
Nahakikisha sina cha kunisumbua wakati wa kukata moto au kukinukisha.
 
Me nshawai kushuhudia Niko bar ,then pembeni amekaa msela na demu. .wameagiza kitimoto sasa katkati ya story jamaa akamuuliza demu
Vipi tukitoka hapa tunaenda home?
Demu akagoma akasema siku ingine ,bhac yule jamaa akaongea kwa sauti Hiyo kitimoto funga ntaenda kulia nyumbani doh! Dada aliona aibu Sana lakini muhuni alikua serious
Kuna watu wagumu Sana kwenye Pesa zao
 
Juzi nilikua bar Fulani nakula kitimoto form six. Pembeni yangu amekaa jamaa anaongea na simu kwa sauti na mabinti wawili.
Akawa anasema and I quote ". Niwekee milioni moja, laki tatu na tisini" unquote, mezani kwake Kuna soda za mabinti.
Mara akawaambia, ngoja nikatoe pesa hapo nje. Wakati natoka nilimuona kwenye boxer anapepea sio polepole
 
Back
Top Bottom