Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 13,734
- 27,098
- Thread starter
- #221
Nzuri hiyo"Siko poa kwasasa ndugu yangu..mambo ikikaa vizuri ntakuchek"
Nzuri hiyo"Siko poa kwasasa ndugu yangu..mambo ikikaa vizuri ntakuchek"
7 vya jamaa wa karibuUmepokea vizinga vingapi mpaka sasa kuelekea Eid
Hii jamaa lazima atangulize na pole😁😁Daaah, mwanangu kunasoo lilitokea ofisini mm mwenyewe wamenisimamishia mshahara ndio nasikilizia kesi itaishaje.
Hahaha! Ni noma."Siko poa kwasasa ndugu yangu..mambo ikikaa vizuri ntakuchek"
Ule pesa zangu kwani mie ndo mwenye uhitaji.Trust me hunipati na usipo kua makini tutakula zako nakuapia
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
😂😂 Usije uka pupulia uzi madameSahv nahara kabisa...💩💩💩
Kibabe zaidiMwambie mi komandoo wa majini,na hapa nipo det kisiwanu Nyamanji hivyo hakuna huduma za kipesa.
SI kwa ubaya lakiniKumbe watu wa humu ni wachoyo hivi???!!!
Wachoyo sana mmenisikitisha....SI kwa ubaya lakini
Tumechezwa na machaleWachoyo sana mmenisikitisha....
Mwenye shida na pesa ndogo ndogo asisite kuniomba.
Vi elf kumi, hamsini, ki laki.



Kuna mtu kizinga anafatilia tokea Mwezi Januari, nimempiga spana tuu,,,,Jana 14/2/2021 text ya kwanza ilikuwa yake.Ile kureply ASANTE kosa kubwa akakumbushia na mpaka tunavyoongea sijafanya lolote mie. Na status anaview kama kawa yaaani,, kula buyu tuu na hizi nyakati kweli siyo za kupigana vizinga walahi
Hahahah kwa kweli avae tu barakoa, mudi sio mtu mzuri kabisaYanini kutafuta "DHAMBI KWA MUNGU" zisizo na ulazima (Sijui sina, Ooh Sikusikii vizuri, Haki ya mungu nipo vibaya n.k), msema kweli ni mpenzi wa mungu.
Unampa "KITASA KIMOJA CHA KIDEVU", kesho harudii tena kupiga mzinga.
View attachment 1819781
Mudi kama mudi ni mpenzi wa mungu.Hahahah kwa kweli avae tu barakoa, mudi sio mtu mzuri kabisa



Mudi ana roho ngumu sana😅😅Mudi kama mudi ni mpenzi wa mungu.![]()