Street Hawker
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 241
- 438
Hawa watu wanaoitwa 'wanyonge' walianza kujimilikisha sidewalks, now taratibu wameanza kununua hisa za barabara, soon nazo watazimiliki.
Tupo hovyo hovyo kwa kuwa tunaongozwa hovyo hovyo!Hawa watu wanaoitwa 'wanyonge' walianza kujimilikisha sidewalks, now taratibu wameanza kununua hisa za barabara, soon nazo watazimiliki.View attachment 1923297View attachment 1923298View attachment 1923299View attachment 1923300View attachment 1923301View attachment 1923302View attachment 1923303View attachment 1923304View attachment 1923305
Lipiza kisasi na wewe upige picha mwingineKwa nini umenipiga picha na kunipost bila mamlaka yangu.
We ndio huyo mwenye cart ya Game, duh uliibaje ibaje pale Mlimani?Kwa nini umenipiga picha na kunipost bila mamlaka yangu.
Panakera sana pale,parking imekuwa shida sasa.Kilichofanywa na Manispaa ya Morogoro kwenye Soko la Chief Kinga'allu ni chakushutumiwa na kina leta picha mbaya kwa kutumia majina ya viongozi wa nchi kuhalalisha matumizi mabovu ya soko tofauti na utaratibu uliowekwa katika 'design' ya soko hilo. Manispaa wamebadili matumizi ya soko na kuvuruga kabisa taswira nzuri ya Soko.
Viongozi wa manispaa waonywe. Nasubiri Institute Engineers Tanzania tawi la Morogoro watoe tamko.
Wewe ndio huyo mwenye hicho ki pikipiki niniKwa nini umenipiga picha na kunipost bila mamlaka yangu.
Mnyonge mwingine anayejimilikisha jamii forums na tcraKwa nini umenipiga picha na kunipost bila mamlaka yangu.
We ndio huyo mwenye cart ya Game, duh uliibaje ibaje pale Mlimani?
Wewe ndio huyo mwenye hicho ki pikipiki nini
Mnyonge mwingine anayejimilikisha jamii forums na tcra