Ujinga wa mtu mwingine lawama unampa mtu mwingine,huu ujinga umeletwa na limbukeni aliyejiondokea zake.kama wanalegezewa macho unadhani watafanyaje??
Kuiga ujinga ujinga haisaidii.Nchi zite ambazo zinataka ku take off kiuchumi zipo hivyo nenda India bagkadesh na malasia uone mpaka barabara ya reli imezibwa wakati treni inataka kupita ndio wanaondoa bidhaa zao. Acha walalahoi wamiliki uchumi
Walalahoi wanamiliki uchumi kwa kuziba barabara?!😬Nchi zite ambazo zinataka ku take off kiuchumi zipo hivyo nenda India bagkadesh na malasia uone mpaka barabara ya reli imezibwa wakati treni inataka kupita ndio wanaondoa bidhaa zao. Acha walalahoi wamiliki uchumi
Sahv watoto,vijana kila mtu anambiwa aingie kwenye bongo fleva anyoe kidukuSerikali ya CCM haina long-term solution, unategemea nini? Wakiambiwa kilimo ni uti wa mgongo wa kumkomboa mnyonge hawataki. Wanyonge wamekimbilia umachinga maana kilimo hakijawa na tija Tz.
Kwani picha zimewekewa tarehe?Ni sehemu ya script ya mama katika movie yake ya Hollywood inayohusu utalii.
Hata 'wanyonge' ni kivutio cha utalii.
Ila hapo kwenye kuonyesha sura za watu umekosea mkuu. Kuna watu wameaga kwa wake zao wapo mkoa kikazi halafu unawaanika wanachanja mbuga kariakoo.
Hasa ONE WAY, Barabara ya 3 inayo tokea tanesco kuja jiji Hadi sabasaba pana shida sanaWanazingua sana hata Dodoma kuna hii shida sanaaa
Ndo yupi mwenye draft la blue au shati la chuga?Kwa nini umenipiga picha na kunipost bila mamlaka yangu.
Ndo yupi mwenye draft la blue au shati la chuga?