Mimi nagisikia kwiimba.
"Mwanamugi wolaa - wola naweeeeeee, ee, wola!
mwanamugi wolaa - wola naweeeeeeee, ee, wola!
Karibuu tusenseme - sensema marunde sensemaaaa, sensemaaaa!
Karibu tusenseme - sensema marunde sensemaaaaa, sensemaaaa!
Wapi?Umenikumbusha mbali sana....
Ubebe ufumile hee, bariadi nholo GambushiUfumile he ubebe...Magu?
Ubebe ufumile hee, bariadi nholo Gambushi
Wapi?
Hii thread imekua ya kikabila maana lugha hii wengine hata hatuijui, basi anzisheni sehemu ya makabila ili watu wakajimwage huko
Kweli haya mambo yanatokea kweli hapa JF!
Kwa mtaji huo,Hakuna muelekeo mzuri hata kidogo.Maneno ya Mwl.Nyerere kweli yanazidi kutimia, "Tanzania ya leo watu wanaongelea UKABILA"?
Sasa tukiamua kila kabila walete "Thread" zao humu si itakuwa balaa,vurugu tupu na apatoshi humu ndani.
Eebu ondoeni ujinga wenu hapa.
Acha utani mbona 6 na my wife wapo Serikalini na Bunge linaendeshwa kwa speed and Standard, my wife wake anaendesha ile wizara na hakuna tuhuma zozote.Mkuu,
Wanyamwezi huwa tuna kaushamba fulani. Utaona jitu limesoma ila bado halijaelimika. Sidhani kama Mnyamwezi akipewa nchi tutafika mbali.
Nakubaliana na wewe tu kitu kimoja kuwa, Wanyamwezi wa Kaskazini (Wasukuma) na Wale wa Kusini (Wadakama) kama tungeliungana na kutunga WARAKA wetu wa uchaguzi, basi tungelileta mwanga mkubwa sana kwa wananchi. Ingeliwekwa wazi miiko ya viongozi. Tungelikuwa na Wapelelezi wetu na kila kiongozi FISADI, tungelimjadili na kumuumbua hapohapo mbele ya jukwaa na kuwambia apeleke huo uongo wake huko mbali. Na watu kama Chenge na Hosea, basi na wao wangelipewa palepale LIVE. Amini usiamini, makabila mengine yangelituiga na kuanza KUKEMEA ndugu zao (Ila sidhani Wachaga wangelifanya hivyo/Nyantuzu na Wakinga) maana hawa jamaa, mhhhhh.............
Ila la muhimu ni kuwa, mtu gani wachague hilo linaachwa WAZI kwao wenyewe wachague na mtu akijifanya kutumia ukabila kupendekeza fulani achaguliwe, basi tunaMPONDA dawa. Ila option ya kusema "fulani hatumtaki", hiyo inabaki wazi.
Mtu kama Waziri wa Energy, pamoja na kutoka huko, kuna haja gani kuwa naye? Tuko wengi saana na kama tukitumia huo wingi wetu kuirekeisha nchi basi tutafika mbali. Ila la muhimu ni HAKUNA kuoneana aibu. Akija Fisadi mnamtoa BARU.
Hapa Bageshi umenikumbusha mbali sana kwenye harusi ya babu alipomuoa bibi madada zangu walipandela wakimwaga maua ilikuwaga ni furaha sana nkwingwa.Julius,
Nilihisi utakuwa ni Bariadi maana utani mwingi saana.
Haya Wasukuma mrudi kwenu leo. Akina dada wakimbie maana itaanza sasa hivi Chagulaga mwana mayu.
Jeshini tulikuwa twaimba "Yuyo yuyo wazwa mbele, wakomelile". Ula huu wimbo ulikuwa umekaa kipedopedo maana kasichana ka miaka 13 si bado kadogo?
Haya, wimbo wa homeboy huo, Hamza Kalala....
http://www.youtube.com/watch?v=7Xwk2G_OneQ
Kama huelewi umekuja kufanya nini hapa si kuna thread zingine unaweza kusoma?Hii thread imekua ya kikabila maana lugha hii wengine hata hatuijui, basi anzisheni sehemu ya makabila ili watu wakajimwage huko
Mkuu,
Jamaa alileta ukabila na ndugu zake wakamwangukia. Ila ili kumhifadhi basi wakaanza kumpa maneno yake kwa Kisukuma. Wasukuma kwa utani ni wacha na hasa wanapokuwa kwenye lugha yao na hapo mambo yakaanza kuwa out of control na wengi wakawa wamerudi nyumbani kidogo.
Mbona matusi tena? Unataka utukanwe kwa kikwetu? Si ungeuliza kwanza ujue nini kinaongewa kuliko kuanza kushambulia watu? Anyway, jibu nimeandika hapo juu, SOMA.
Next time uliza kwanza uambiwe nini kinaongewa. Hapa kalianza ka ugomvi ka wenyewe na ikabidi kijana wetu awekwe chini na kufundwa kikwetu. Sasa huo wewe unaona ni UJINGA?
Lelingangi, malomo kutyempuka kiti "ndili" ya mkikulu.
Na mimi nikianza kumwaga cha nyumbani........!!!?,I am civilized man.
Bebe nang'ho buli ujimelile geko?
Hakuna aliyeleta ukabila tunakumbushiana mila na tamaduni zetu,ni kama vile wale wanaoanzisha thread za shule walizosoma enzi zile ni kwamba wanataka kukumbushana enzi hizo. Kwa hiyo mkuu hapa hakuna ukabila hata kidogo. Mbona kuna watu wanaongelea sana mkoa wa Mbeya au na wao ni wabaguzi wa kimikoa?Nyie mbona mnaleta ukabila humu? sote tukianza itakuwaje?
Na mimi naanza, Kamwene, Makhasi?