Hee kumbe Kibanda nae mnyakyusa?
Mkuu suala hilo halikutokea "Unyakyusani" bali sehemu za kuelekea Rukwa/Mpanda.
Unavyosema ni sawa na kulaumu wachagga kwa kitu kilichotokea upareni!
Wanyakyusa wanajulikana kwa misimamo yao isiyoyumba na kutetea ukweli halisi.
Usisahau na Mwakyembe, Prof Mwandosya-proud people who would radher die with the truth upheld.
Wanyakyusa wanajulikana kwa misimamo yao isiyoyumba na kutetea ukweli halisi.
Usisahau na Mwakyembe, Prof Mwandosya-proud people who would radher die with the truth upheld.
Mmh! Nami nashindwa kuelewa tumefanya nini!
Si dhani kama kibamba ni Mnyakyusa, nilijua ni mnyalu au Msagala wa pale kijiji cha Mahenge karibu na kitonga ukitoka Ruaha Mbuyuni maana nilioneshwa nyumba nikaambiwa ni ya kwake.
Wanawafanyizia ili mjitenge muhamie Malawi kwani mmekuwa msumali kwa Vasco Dagama!!
Hee kumbe Kibanda nae mnyakyusa?
Absalom Kibanda ni mtoto wa Kapyela alikuwa injinia wa maji na kwao ni Rungwe!!
Jamani wana jamii wenzangu nauliza hivi hawa Wanyakyusa wamefanya nini! ,Ulimboka,Mwangosi na Absalom Kibanda?
Wanyakyusa walimpiga mawe Kikwete pale Mbeya
wanafiki hao wote.mbona hawakuwataja waliodai wamewawekea sumu?