Wanyakyusa ni wahanga wa CCM?

Wanyakyusa ni wahanga wa CCM?

Status
Not open for further replies.
Tuliwahi kuweka hii list huko nyuma;

Mwaikambo (Gibbons)
Mwandosya
Mwangosi
Ulimboka
Kibanda
Mwakyembe
Mwaibabile (alikuwa mwandishi jembe sana Songea, akafungwa kwa "nyaraka za siri za serikali")
Kibona
Mwakipesile (aliuwawa Rungwe)
Jwan Mwaikusa


Nawashauri machifu wa Kinyakyusa wajenge Mnara wa Kumbukumbu kuwa-enzi vijana wao

'How long shall they kill our prophecy_and we stand aside and look...?'....Redemption song.

Nkalele fijo banyambala....!
 
Tuliwahi kuweka hii list huko nyuma;

Mwaikambo (Gibbons)
Mwandosya
Mwangosi
Ulimboka
Kibanda
Mwakyembe
Mwaibabile (alikuwa mwandishi jembe sana Songea, akafungwa kwa "nyaraka za siri za serikali")
Kibona
Mwakipesile (aliuwawa Rungwe)
Jwan Mwaikusa


Nawashauri machifu wa Kinyakyusa wajenge Mnara wa Kumbukumbu kuwa-enzi vijana wao
Hii list inamapungufu Kibonde wa clouds mbona hayupo??????????
 
Wanyakyusa wanajulikana kwa misimamo yao isiyoyumba na kutetea ukweli halisi.
Usisahau na Mwakyembe, Prof Mwandosya-proud people who would radher die with the truth upheld.

Bila kumsahau marehemu Prof.Mwaikusa.
 
Tuliwahi kuweka hii list huko nyuma;

Mwaikambo (Gibbons)
Mwandosya
Mwangosi
Ulimboka
Kibanda
Mwakyembe
Mwaibabile (alikuwa mwandishi jembe sana Songea, akafungwa kwa "nyaraka za siri za serikali")
Kibona
Mwakipesile (aliuwawa Rungwe)
Jwan Mwaikusa


Nawashauri machifu wa Kinyakyusa wajenge Mnara wa Kumbukumbu kuwa-enzi vijana wao
Mwakyusa, Mwalubalile,Mwabula,Mwandambo,Mwangende,Mwaigonele,Mwangosi,Mwampyate,Mwansasu,Mwakyambiki,Mwansule,Mwakipango,Mwambuli,Mwakasenyenda,Mwasulama,Mwaipopo,Mwakanyamale,Mwaisumo,Mwampate,Mwakyeni,Mwampamba,Mwampakasya,Mwasambili.
mwarifu na Mwa.......
Kikao kitakuwa kule Mwakaleli kwa Chifu Mwalugaja.
 
Mwakyusa, Mwalubalile,Mwabula,Mwandambo,Mwangende,Mwaigonele,Mwangosi,Mwampyate,Mwansasu,Mwakyambiki,Mwansule,Mwakipango,Mwambuli,Mwakasenyenda,Mwasulama,Mwaipopo,Mwakanyamale,Mwaisumo,Mwampate,Mwakyeni,Mwampamba,Mwampakasya,Mwasambili.
mwarifu na Mwa.......
Kikao kitakuwa kule Mwakaleli kwa Chifu Mwalugaja.

Msafara wa kikwete ulisimamishwa na wazee wa Rungwe ili ajibu kwa nini hawachukulii hatua mafisadi, aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani Nahodha, alipigwa mawe mbeya, tumezaliwa na Ujasiri tangu tumboni na bado wengine ndo tunakuja kwa kasi sana, huyu ------ tunajua ni mtu wa visasi sana loli lelo kwaganila na nuswe twe bhalya matoki ni mbalaga nulukama lwa kwa mwakaleli nu mpunga gwa kwa kyela nubhusipa bhwa kwasumbi.
 
Mwakyusa, Mwalubalile,Mwabula,Mwandambo,Mwangende,Mwaigonele,Mwangosi,Mwampyate,Mwansasu,Mwakyambiki,Mwansule,Mwakipango,Mwambuli,Mwakasenyenda,Mwasulama,Mwaipopo,Mwakanyamale,Mwaisumo,Mwampate,Mwakyeni,Mwampamba,Mwampakasya,Mwasambili.
mwarifu na Mwa.......
Kikao kitakuwa kule Mwakaleli kwa Chifu Mwalugaja.
nitamwarifu na Mwamalundi,Mwasakafyuka,Mwanyangala, Mwamatanga, Mwangongi,Mwamaso,Mwakamyanda,Mwakabhundu,Mwakyolile,Mmwakisu,Mwakijinja,Mwampiki,Mwanjinga,Mwaigolole, Mwaigomole,Mwandema,Mwankonyofu,Mwakusipuka, Mwailuka.......
Du nimemaliza kijiji chetu!
 
Tatizo la sisi wanyakyusa tunaviongozi wazuri ila wameng'ang'ania Chama cha Magamba.. Tokeni huko ndugu zangu hicho chama kitatumaliza,, kama sio Mungu leo Mwakyembe, Mwandosya, Ulimboka na Absalom tusinge kuwa nao Kyala nnunu.

Naloli nkamu
 
Mmh! Sidhani kama Kibanda ni mnyakyusa. Hapana, hii sijaikubali.
 
Hebu chunguza sehemu yeyote walipo hufanya kazi kwa bidii hata kwenye dini chunguza zaidi ya madhehebu 200 mbeya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom