Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,166
- 2,670
Utamaduni wa hawa watu unanifurahisha sana, the way wanavyoishi na mambo wanavyochukuliana, ila tatizo wanawake wao wanapenda sana kujipodoa!
Usisahau Eli Anangisye (wakati wa Nyerere)Tuliwahi kuweka hii list huko nyuma;
Mwaikambo (Gibbons)
Mwandosya
Mwangosi
Ulimboka
Kibanda
Mwakyembe
Mwaibabile (alikuwa mwandishi jembe sana Songea, akafungwa kwa "nyaraka za siri za serikali")
Kibona
Mwakipesile (aliuwawa Rungwe)
Jwan Mwaikusa
Nawashauri machifu wa Kinyakyusa wajenge Mnara wa Kumbukumbu kuwa-enzi vijana wao
Kule Mwabepande pamefanana na majina yao ndo maana wanapenda kwenda kuwafanyia finishing huko...............!
Asante mkuu, ila umemsahau na babu yangu Chief Mwansasu.
Machifu watasikia kilio cha wana wao.
Usisahau Eli Anangisye (wakati wa Nyerere)
Huyu mbali na misimamo yake yenye akili jambo lililomfurahisha/lilimpendeza Nyerere......aliharibu pale alipoanza kushirikiana na akina Kambona......jina lake la Kinyaki ni "Mwalulesya"....nilikuwa nafahamiana naye vizuri. Na hiyo ndio picha yake enzi zile.....dahh!..... Jasusi anaweza kukupa story zake....i guess
Leka mbuke kumyitu kwa mwakalili ngabhalalusye abhasololi pi isyeto lya babu gwangu Mwanjonde, ilopa hili abhikuhomba, naloli ngubhabhula sika sunga hisi, amukuketa...!
Mweeee wanyakyusa tufwile!
Ogah,
Hata mimi nilifahamiana na marehemu Anangisye baada ya kumaliza masomo yake Makerere. Daah, tumetoka mbali.
Hapo kwenye redi hivi hujatukana mkuu?
Sasa si malizia baada ya iyo tafrani watu walikamatwa hasa ring leaders na kuwekwa jela Rungwe.Wana kyela waliandamana mpaka Gereza la Rungwe.Nyerere alibidi amwambie kawawa achia hao watu.Jamaa wakatolewa jela.JK alipigwa mawe Chunya, wilaya mojawapo ya mkoa wa Mbeya, na sio Rukwa.
Ila nakumbuka hata enzi za Nyerere, Wanyakyusa wa Kyela katika kupinga mpango wa operation maduka ya ushirika na kufungwa maduka binafsi miaka ya 1970, walimzomea Abdu Jumbe. Alisema TANU oyee wakasema ziii! Kwa enzi za Nyerere kuwa na ujasiri huo halikuwa jambo la kawaida, lakini Wanyakyusa waliweza! Nyerere aliwatetea akasema hakuamrisha maduka binafsi yafungwe, Kawawa aliyafunga kwa kutomwelewa alichomaanisha!
Niko na Nyumba maeneo ya Pugu Dsm does that mean mimi ni Mzalamo?Si dhani kama kibamba ni Mnyakyusa, nilijua ni mnyalu au Msagala wa pale kijiji cha Mahenge karibu na kitonga ukitoka Ruaha Mbuyuni maana nilioneshwa nyumba nikaambiwa ni ya kwake.
Mndali ni mnyaki ila tunasema Balyendile Indali kule milimaniHa ha haaa.Anajiita mnyakyusa lakini ni mndali.
Ndo uzuri wa JF watu wana nondo za kufa mtu.Huyo wa polisi chang'ombe alikuwa anaitwa Ekson Ahombile Kapyela Kibanda, alikuwa Baba mdogo wa Eng.Norman Kapyela, baba yake Absalom Kibanda
>Ukweli tutaendelea kuusimamia bila kumjali wala kumuogopa mtu yeyote
>Kifo aliumbiwa mwanadamu, na hata wauwao nawao watakufa pia.
>LUKA 12:4 "Msiwaogope wauao mwili tu,bali mwenyeuwezo wa kuua mwili na roho"
>UJASIRI,UKWELI,UZALENDO NA KUJITAMBUA KWETU NDICHOCHANZO
>KYALA ALENANUSWE MWE.
Tulijazana TISS enzi za Mwangonda mmasiku aga jwanio aje KUTISS bhalangani naloli abha!Bhakamanya nesi bhikowombaHaya mabo mbona yamekua na utata kwa ndugu zetu wanyaki, mimi lidhani wanawindwa na nondo tu kumbe ni zaidi ya hapo. Lakini mbona TISS wamejazana wao, 2015 inabidi tumuingize mmoja wao magogoni ili kuokoa kizazi hiki.