Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,077
- 1,439
Wanyakyusa walimpiga mawe Kikwete pale Mbeya
Kwa hiyo ni revenge?
Wanyakyusa walimpiga mawe Kikwete pale Mbeya
Msafara wa kikwete ulisimamishwa na wazee wa Rungwe ili ajibu kwa nini hawachukulii hatua mafisadi, aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani Nahodha, alipigwa mawe mbeya, tumezaliwa na Ujasiri tangu tumboni na bado wengine ndo tunakuja kwa kasi sana, huyu ------ tunajua ni mtu wa visasi sana loli lelo kwaganila na nuswe twe bhalya matoki ni mbalaga nulukama lwa kwa mwakaleli nu mpunga gwa kwa kyela nubhusipa bhwa kwasumbi.
Tatizo la sisi wanyakyusa tunaviongozi wazuri ila wameng'ang'ania Chama cha Magamba.. Tokeni huko ndugu zangu hicho chama kitatumaliza,, kama sio Mungu leo Mwakyembe, Mwandosya, Ulimboka na Absalom tusinge kuwa nao Kyala nnunu.
nitamwarifu na Mwamalundi,Mwasakafyuka,Mwanyangala, Mwamatanga, Mwangongi,Mwamaso,Mwakamyanda,Mwakabhundu,Mwakyolile,Mmwakisu,Mwakijinja,Mwampiki,Mwanjinga,Mwaigolole, Mwaigomole,Mwandema,Mwankonyofu,Mwakusipuka, Mwailuka.......
Du nimemaliza kijiji chetu!
kaka kwa taarifa tu! Hata hilo neno Mnafiki kule hawalijui! Hayo ni mambo ya wala samaki maji chumvi! Ambako hata tumbo linaponza makalio!wanafiki hao wote.mbona hawakuwataja waliodai wamewawekea sumu?
Hebu chunguza sehemu yeyote walipo hufanya kazi kwa bidii hata kwenye dini chunguza zaidi ya madhehebu 200 mbeya.
Nakumbuka hata mkewe alirushiwa makopo ya maji Mwanjelwa!
Mweeee wanyakyusa tufwile!
mwe,mwe mweee
khuswigha findufiki ghwa myitu pope bhabhagoghe habho tutikumalika sikhu.
Laaaah!..........kaka kwa taarifa tu! Hata hilo neno Mnafiki kule hawalijui! Hayo ni mambo ya wala samaki maji chumvi! Ambako hata tumbo linaponza makalio!
Mwakyusa, Mwalubalile,Mwabula,Mwandambo,Mwangende,Mwaigonele,Mwangosi,Mwampyate,Mwansasu,Mwakyambiki,Mwansule,Mwakipango,Mwambuli,Mwakasenyenda,Mwasulama,Mwaipopo,Mwakanyamale,Mwaisumo,Mwampate,Mwakyeni,Mwampamba,Mwampakasya,Mwasambili.
mwarifu na Mwa.......
Kikao kitakuwa kule Mwakaleli kwa Chifu Mwalugaja.
nitamwarifu na Mwamalundi,Mwasakafyuka,Mwanyangala, Mwamatanga, Mwangongi,Mwamaso,Mwakamyanda,Mwakabhundu,Mwakyolile,Mmwakisu,Mwakijinja,Mwampiki,Mwanjinga,Mwaigolole, Mwaigomole,Mwandema,Mwankonyofu,Mwakusipuka, Mwailuka.......
Du nimemaliza kijiji chetu!
...msiwasahau kuwaalika na Ma-Chifu wenyewe akina Mwakatumbula, Mwambulukutu, Mwakasendo, Mwakalinga, Mwabulambo, Mwamakula, Mwaikambo, Mwakatobe, Mwakibete, Mwakyoma, Mwakalindile, Mwambapa, Mwambene, Mwambungu, Mwamunyange, Mwambola, Mwakibolwa, Mwaikugile, Mwabukusi, Mwaitenda, Mwaikasu, Mwakitwange, Mwanndisi, Mwakifwamba, Mwalusako, Mwasyoge, Mwakalebela, Mwaifuge, Mwandumbya, Mwasumbi, Mwakalile, Mwakifulefule, Mwaikusa, Mwakajinga, Mwakibinga, Mwakagenda, Mwakipesile, Mwaipungu..........dahh!.....naona mke wangu majina mengine kasahau.....
Lole Gwakisa naona umemsahau Mwambipile....hahahah ile story yako siwezi kuisahau......hahahaha
Leka mbuke kumyitu kwa mwakalili ngabhalalusye abhasololi pi isyeto lya babu gwangu Mwanjonde, ilopa hili abhikuhomba, naloli ngubhabhula sika sunga hisi, amukuketa...!
...msiwasahau kuwaalika na Ma-Chifu wenyewe akina Mwakatumbula, Mwambulukutu, Mwakasendo, Mwakalinga, Mwabulambo, Mwamakula, Mwaikambo, Mwakatobe, Mwakibete, Mwakyoma, Mwakalindile, Mwambapa, Mwambene, Mwambungu, Mwamunyange, Mwambola, Mwakibolwa, Mwaikugile, Mwabukusi, Mwaitenda, Mwaikasu, Mwakitwange, Mwanndisi, Mwakifwamba, Mwalusako, Mwasyoge, Mwakalebela, Mwaifuge, Mwandumbya, Mwasumbi, Mwakalile, Mwakifulefule, Mwaikusa, Mwakajinga, Mwakibinga, Mwakagenda, Mwakipesile, Mwaipungu..........dahh!.....naona mke wangu majina mengine kasahau.....
Lole Gwakisa naona umemsahau Mwambipile....hahahah ile story yako siwezi kuisahau......hahahaha