Mwambene oscar m.
Member
- May 13, 2013
- 49
- 12
Ndugu zangu wanajamii forum hasa mnaotoka mkoa wa Mbeya na wale wapenda haki, mimi nawashangaa sana wabunge wa CCM wanaotoka mkoa wa Mbeya, kuna matukio mengi ya kutisha sana yanatokea katika nchi yetu, na mengi ya hayo yamewatokea kwa wenyeji wa mkoa wa mbeya na kibaya zaidi matukio mengine yamewagusa baadhi ya wabunge wetu wa mkoa wa Mbeya.
Karibia wabunge wawili wamelishwa sumu, hawa ni Prof. Mwandosya na Dr. Mwakyembe, pia tumeshudia kifo cha Daudi Mwangosi, Kibanda na Ulimboka na wengine amboa wapo usalama wanakufa hovyo tu. cha ajabu yote haya yanatokea waheshimiwa hawa wamekaa kimya kabisa. swali ambalo napenda kuwauliza ni kwamba, je wanatuachia wosia gani kwa vijana tunaotoka mkoa wa Mbeya?
Je tuachane na siasa? au hii inatokana udhaifu wao binafsi? na kama ni udhaifu wao CCM wanambeya wanatushauri tuchukue hatua gani? napenda kuwasilisha.
Karibia wabunge wawili wamelishwa sumu, hawa ni Prof. Mwandosya na Dr. Mwakyembe, pia tumeshudia kifo cha Daudi Mwangosi, Kibanda na Ulimboka na wengine amboa wapo usalama wanakufa hovyo tu. cha ajabu yote haya yanatokea waheshimiwa hawa wamekaa kimya kabisa. swali ambalo napenda kuwauliza ni kwamba, je wanatuachia wosia gani kwa vijana tunaotoka mkoa wa Mbeya?
Je tuachane na siasa? au hii inatokana udhaifu wao binafsi? na kama ni udhaifu wao CCM wanambeya wanatushauri tuchukue hatua gani? napenda kuwasilisha.