Wanenguaji wa 'Kanga Moko' wapigwa Risasi

Wanenguaji wa 'Kanga Moko' wapigwa Risasi

kuna habari nyingine mtu unacheka tu kwanza...teh!teh!ha!ha!kwa hiyo wamepigwa risasi za kwenye ofisi zao??ila tuache utani wale kanga moja ni mashalaaah!wakata mauno wale
 
Serikali ikifungia macho ujinga kama huu nchi yetu inaweza geuka soweto gun nje nje
 
Police ------- tu, watawafyatuliaje risasi warembo ambao wangewakamata bila ugomvi, kweli polisi wabongo wazembe yaani wameshindwa kuwakamata madem mpaka wamewapiga risasi, afu ni uzalilishaji kudadeki, mbona majambazi wanapora benki hawawapigi risasi? wezi mamilioni serikalini hawawapigi risasi? Mbona yule amesema ziwa nyasa lake hamjafanya kitu, mbona yule alimpiga biti mkuu wenu kama mtoto mdogo hamkumfyatulia risasi????? nataka majibu, Yule aliebaka mwanafunzi mbona hamkumpiga risasi ya dudu???? kuna tofauti gani kubaka na kucheza uchi. kama nyie wababe si mwende kenya mkawasaidie wenzenu kupambana na alshabab????? mambo madogo mnatumia nguvu kubwa afu makubwa mnajifanya mnajua sana kwenda mezani, kwa nini msiende mezani na kanga moko mkawapa kazi mbadala. irresponsible workers!!!
 
Ukifagilia kumaliza tofauti zetu kwa risasi, leo tutaanzia huko kwa kanga moko, kesho tutafikia tofauti ambayo wewe utakuwa nayo.

Mtu akikutwanga risasi napo useme "afadhali".
Hawa wacheza uchi wanaharibu watoto wetu,naona sasa wataacha,hata aliewatwanga risasi alitaka kuwapa fundisho tu ndo maana kawapiga sehemu ambazo sio hatarishi kwa uhai wao
 
Hawa wacheza uchi wanaharibu watoto wetu,naona sasa wataacha,hata aliewatwanga risasi alitaka kuwapa fundisho tu ndo maana kawapiga sehemu ambazo sio hatarishi kwa uhai wao

Watoto wenu siku hizi wakitaka ngoma za uchi wa kuona vipapa na hata migovi at close range siku hizi mambo yote mtandaoni.

Hao wa kanga moja hata wakiwa si haba, hawana reach.

Kuwapiga risasi kwa lengo la kuzuia mmomonyoko wa maadili ni kama kutaka kuzuia mafuruko ya tsunami kwa ndoo ya lita ishirini.

Unaweza kutaka kuwela zulia dunia nzima ili mguu wako usiguse uchafu.


Au unaweza kuvaa kiatu tu.

Kama una mwana au binti unataka kumfunda, anza na maliza kwake.

Huyo ndiye unaweza kujaribu kum control.

Huko kwingine utajidanganya tu.
 
Hawa wacheza uchi wanaharibu watoto wetu,naona sasa wataacha,hata aliewatwanga risasi alitaka kuwapa fundisho tu ndo maana kawapiga sehemu ambazo sio hatarishi kwa uhai wao

acha ujinga weye ujui wengine ndo ugonjwa wetu huo iyo mitoto yako umeshindwa kuipa maadili home unasingizia kigodoro?!
 
Mpaka sasa hapa ni porojo tu ndio zinapigwa, hakuna taarifa iliyokamilika nani kawapiga na kisa cha kupigwa ni nini.

Sijui kama umesoma RESEARCH METHODOLOGY na ukaelewa vizuri kama bado mtafute mtu akuelekeze.
 
Afadhali,sipendi uchezaji wao,unadhalilisha wanawake!wangewavunja na viuno ili watie akili, kama ni hela bora wangejiuza kistaarabu tu,kona bar nk!
 
Afadhali,sipendi uchezaji wao,unadhalilisha wanawake!wangewavunja na viuno ili watie akili, kama ni hela bora wangejiuza kistaarabu tu,kona bar nk!

Acha upimbi watu tuna toa misongo yetu ya mawazo nyie mna tuharibia burudani zetu.
 
Back
Top Bottom