Wanenguaji wa 'Kanga Moko' wapigwa Risasi

Wanenguaji wa 'Kanga Moko' wapigwa Risasi

Afadhali yaani siwapendi kama nini

hehehe na hivi tuko msimu wa kombe la dunia yani sina haja ya kutunisha msuli kupata kisingizio cha kukesha bar, watoe namba ya mpesa wadau tuchangie huduma za matibabu ili wapone na kurudi jukwaani :smile-big:
 
Afadhali yaani siwapendi kama nini

Kwani wewe anakupenda nani KENGE wewe! Wenzio wamepata matatizo wewe unaleta Ngonjera za kumpenda mtu kwani wao wanataka uwapende? Na ni nani hasa wewe ambaye usipowapenda watu inakuwa shida kwao.
 
Wivu tu umewajaa watu. Pole zenu kina da mwana kwa majanga..

Akuna majanga wala pole hapa kwani tangazo limeisha toka kama hamtii itawapata ya kichwa ndo mtatambua kuwa wifu au wifi,na hii misukule yote ndo inashadadia mambo ya kipumbavu,pigaaaaaa
 
Kwani wewe anakupenda nani KENGE wewe! Wenzio wamepata matatizo wewe unaleta Ngonjera za kumpenda mtu kwani wao wanataka uwapende? Na ni nani hasa wewe ambaye usipowapenda watu inakuwa shida kwao.

Matatizo ni kawaida kwa binadamu we msukule,ulitaka upigwe wewe kama ni kitendo kizuri mbona ujaenda wewe kukata mauno nyau we!!!😛eace:😛eace:😛eace:😛eace:
 
Kova kasema haitakiwi tabia kama hizo, kwa clear reasons zake lakini wasio sikia ndo wanafanya mambo yao kama hawaelewi, kazi wanayo now.
 
Inasemekana kuwa wale wana Dada wa kundi la Kanga Moko wamepigwa Risasi muda huu.... Walipokuwa wakicheza matarumbeta kwenye harusi. Mmoja kapigwa Risasi ya makalio, Mwingine ya paja. Wamekimbizwa hospital ya mwananyamala kupata matibabu.

attachment.php


attachment.php

Big up kwa mpga risasi tna nxt time awaue kbsa m b w a hawa
 
huyo aliepigwa ya ---- hawezi kucheza tena ule mchezo wao haramu unamuweka mjini
 
Back
Top Bottom