TabletFellow
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 918
- 274
tumalizane tu, maana hakuan humanity any moreUkifagilia kumaliza tofauti zetu kwa risasi, leo tutaanzia huko kwa kanga moko, kesho tutafikia tofauti ambayo wewe utakuwa nayo.
Mtu akikutwanga risasi napo useme "afadhali".
risasi ni kitu kudogo sana ukilinganisha na watoto ana akina mama wanaokufa kila saa kwa kuosa basics huku wezi wanajaladia maisha kiulaining
wacha tupigane risasi za m@t@k0 kitaeleweka siku moja