Afadhali yaani siwapendi kama nini
Pole sana vipaji vinaibuka kila wakati na ubunifu mpya dnt worry
Yaani ndo ukawapiga risasi ya makalio?Afadhali yaani siwapendi kama nini
Ushaambiwa mjini msingi kiuno.
Bastola inatoa nini??
harusi gani hiyo j5?
Afadhali yaani siwapendi kama nini
Safi sana maana hao ni zaidi ya maadili mabovu. Hawana haya wala hawajui vibaya, angewatandika wote risasi za makalio halafu warudi tena kuyaonesha vizuri.
Hawa ndio wanafanya wanawake tudharauliwe. Siwaonei huruma hata kidogo na nampa heko huyo aliejitolea kuwatandika risasi za makalio.
watu wameharibu vitendea kazi(makalio)
Afadhali yaani siwapendi kama nini
Mbona masela,mashalo,mabishoo na Vijana wengi wanavaa pensi na suruali chini ya Makalio(milegezo) lakini hamsemi Kama ni kwenda kinyume na maadili ?
Inasemekana kuwa wale wana Dada wa kundi la Kanga Moko wamepigwa Risasi muda huu.... Walipokuwa wakicheza matarumbeta kwenye harusi. Mmoja kapigwa Risasi ya makalio, Mwingine ya paja. Wamekimbizwa hospital ya mwananyamala kupata matibabu.