Inasemekana kuwa wale wana Dada wa kundi la Kanga Moko wamepigwa Risasi muda huu.... Walipokuwa wakicheza matarumbeta kwenye harusi. Mmoja kapigwa Risasi ya makalio, Mwingine ya paja. Wamekimbizwa hospital ya mwananyamala kupata matibabu.
Upigwe risasi kwenye makalio halafu ukalie wheelchair? Masihara haya!
Samahani Mkuu
Mwananyamala
Siyo Polisi mkuu.
Wameua mitaji ya watu....masikini makalio yaoooo
Mbwembwe zitawaisha
Tukio limetokea na wapo mwananyamala Hospital muda huu.
Watu wanafatilia nimeona pia kuna mtangazaji ameshapost.
Afadhali yaani siwapendi kama nini