sehemu gani nataka niende
Bastola inatoa nini??
aisee khabari mbaya kabisa kwetu sisi wapenzi wa burudani
Inasemekana kuwa wale wana Dada wa kundi la Kanga Moko wamepigwa Risasi muda huu.... Walipokuwa wakicheza matarumbeta kwenye harusi. Mmoja kapigwa Risasi ya makalio, Mwingine ya paja. Wamekimbizwa hospital ya mwananyamala kupata matibabu.
Nani alikupiga nayo bastola ya namna hiyo??. Ukimwona mwambie mungu hapendi.
Hawa stripers wabongo.. namuonea huruma huyo aliyepigwa risasi ya makalio duuh
Hana shaba huyo aliyewapiga risasi.., kiukwel ingebid angewapotelezea mbali hayo madada ili aokoe jamii yetu.
Wameshindwa hata kufunga karanga,kuuza mama lishe.mpaka wacheze uchi?
Hospital hapo