Wandugu nimepatwa

Warozi wenzio walikuwa wanakujaribu Mkuu, wamekukuta uko fit. Pole sana na hongera kwa kuwa fit 🙂🙂

 
Mshana una akili nyingi lakini huwa unakosea sana kutetea majizi chadema
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Mkuu tulipata wasiwasi,tukadhani ndio vile kama wale.
 
Ulipatwa???;; hii kauli tata sana hii mkuu.
Hebu fafanua kidogo.
Tusije tukaamini kuwa ulivamia kingunge mwenzio kwenye ile taaluma yako kaka
Kupatwa kwa Mshana Jr..
 
Ulipatwa???;; hii kauli tata sana hii mkuu.
Hebu fafanua kidogo.
Tusije tukaamini kuwa ulivamia kingunge mwenzio kwenye ile taaluma yako kaka
Aliyacheka machawi kwamba eti yana wakati mgumu sasa hivi shauri ya mvua nyingi eti huwa hayawezi kwenye MAJI, sasa naona yakamtingisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…