Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

[emoji23][emoji23] mie niko poa sana na ukinisoma hapo juu utanielewa tu ukiniita mie sijielewi basi mmeo atakuwa ana kazi kubwa kujenga familia bora na wewe
Pole sana, tatizo hatujuani nazani ungetulia mwenyewe, uwe na siku njema
 
Mwenzenu yamenikuta na kusema za ukweli nashindwa kabisa kuelewa namna ya kutoka hapa na kusonga mbele.

Ni mume nilompenda sana sana sana. Mungu katujaalia two beautifull kids na mengine ambayo am greatfull for. Tuliishi kwa upendo,furaha na amani hadi miezi 8 ilopita nilipogundua kuwa nilivyomdhania mume wangu sivyo alivyo.

Kwakuwa nampenda na kumfahamu sana mume wangu, kuna kitu nilikuwa tu nakihisi hakiko sawa kwa muda. Baadae nikagundua he was cheating. Yaani sitaki kuelezea mstuko niloupata na jinsi ninaumia jamani. Japo aliomba sana msamaha and all that ila moyo wangu umekufa ganzi wapendwa.

Mume nilompenda sana kwasasa namuona kama jirani yangu tu, hata hamu nae sina kabisa na hata tendo la ndoa ni kama ananibaka tu. Tushaongea sana, tushakwenda hadi vacation sie wawili tu ila sioni kinachobadilika. Akisafiri kikazi au mimi nikisafiri najisikia amani zaidi and i dont miss him kabisa.

Kuna wakati nilimuomba some alone time nifikirie kuhusu mustakabali wa hii ndoa, alinipa huo muda na kwa kipindi hicho cha wiki moja kichwani mwangu nilishangaa kunazunguka watoto wetu tu na sio mume wangu. Sijamueleza mtu yeyote kuhusu hili hata mama yangu wala mshenga wetu ila linanitafuna hatari.

Wenzangu mnawezaje kusamehe wanaume wanaowacheat na kurudi katika hali zenu za kawaida? Maana mie kwasasa mume wangu namuonaje sijui, nae naona hali hii inamtesa ila ndio hivyo tena[emoji134]
Sijisikii kumpenda wala kumheshimu tena, naona kama hadeserve kwa kutokuithamini na kuivuruga ndoa yetu.
Je una ushahidi ulimkuta mume wako akikusaliti au unamhisi tu
 
Mwenzenu yamenikuta na kusema za ukweli nashindwa kabisa kuelewa namna ya kutoka hapa na kusonga mbele.

Ni mume nilompenda sana sana sana. Mungu katujaalia two beautifull kids na mengine ambayo am greatfull for. Tuliishi kwa upendo,furaha na amani hadi miezi 8 ilopita nilipogundua kuwa nilivyomdhania mume wangu sivyo alivyo.

Kwakuwa nampenda na kumfahamu sana mume wangu, kuna kitu nilikuwa tu nakihisi hakiko sawa kwa muda. Baadae nikagundua he was cheating. Yaani sitaki kuelezea mstuko niloupata na jinsi ninaumia jamani. Japo aliomba sana msamaha and all that ila moyo wangu umekufa ganzi wapendwa.

Mume nilompenda sana kwasasa namuona kama jirani yangu tu, hata hamu nae sina kabisa na hata tendo la ndoa ni kama ananibaka tu. Tushaongea sana, tushakwenda hadi vacation sie wawili tu ila sioni kinachobadilika. Akisafiri kikazi au mimi nikisafiri najisikia amani zaidi and i dont miss him kabisa.

Kuna wakati nilimuomba some alone time nifikirie kuhusu mustakabali wa hii ndoa, alinipa huo muda na kwa kipindi hicho cha wiki moja kichwani mwangu nilishangaa kunazunguka watoto wetu tu na sio mume wangu. Sijamueleza mtu yeyote kuhusu hili hata mama yangu wala mshenga wetu ila linanitafuna hatari.

Wenzangu mnawezaje kusamehe wanaume wanaowacheat na kurudi katika hali zenu za kawaida? Maana mie kwasasa mume wangu namuonaje sijui, nae naona hali hii inamtesa ila ndio hivyo tena[emoji134]
Sijisikii kumpenda wala kumheshimu tena, naona kama hadeserve kwa kutokuithamini na kuivuruga ndoa yetu.
Asilimia kubwa ya wanaume wanacheat, lakini wapo wachache sanaaaaaaa wasio cheat inahitaji mind set na kuwa na hofu ya Mungu na hofu ya kuona unamuumiza mwenza wako,
 
Mwenzenu yamenikuta na kusema za ukweli nashindwa kabisa kuelewa namna ya kutoka hapa na kusonga mbele.

Ni mume nilompenda sana sana sana. Mungu katujaalia two beautifull kids na mengine ambayo am greatfull for. Tuliishi kwa upendo,furaha na amani hadi miezi 8 ilopita nilipogundua kuwa nilivyomdhania mume wangu sivyo alivyo.

Kwakuwa nampenda na kumfahamu sana mume wangu, kuna kitu nilikuwa tu nakihisi hakiko sawa kwa muda. Baadae nikagundua he was cheating. Yaani sitaki kuelezea mstuko niloupata na jinsi ninaumia jamani. Japo aliomba sana msamaha and all that ila moyo wangu umekufa ganzi wapendwa.

Mume nilompenda sana kwasasa namuona kama jirani yangu tu, hata hamu nae sina kabisa na hata tendo la ndoa ni kama ananibaka tu. Tushaongea sana, tushakwenda hadi vacation sie wawili tu ila sioni kinachobadilika. Akisafiri kikazi au mimi nikisafiri najisikia amani zaidi and i dont miss him kabisa.

Kuna wakati nilimuomba some alone time nifikirie kuhusu mustakabali wa hii ndoa, alinipa huo muda na kwa kipindi hicho cha wiki moja kichwani mwangu nilishangaa kunazunguka watoto wetu tu na sio mume wangu. Sijamueleza mtu yeyote kuhusu hili hata mama yangu wala mshenga wetu ila linanitafuna hatari.

Wenzangu mnawezaje kusamehe wanaume wanaowacheat na kurudi katika hali zenu za kawaida? Maana mie kwasasa mume wangu namuonaje sijui, nae naona hali hii inamtesa ila ndio hivyo tena[emoji134]
Sijisikii kumpenda wala kumheshimu tena, naona kama hadeserve kwa kutokuithamini na kuivuruga ndoa yetu.
Ila pia mwanaune aki cheat huwa kuna sababu, ila pia hacheat kwa kumpenda anae cheat nae, mume ni mume usijaribu kumuacha
 
Sio lazima kuendelea kuishi na kuumia eti kisa watoto and blah blah siwezi kwa kweli hapo Ni kupeana personal space baba yao Yuko alive lazima atawaona watoto so no problem because kabla yake I was living my life so married or kids sio kitu kipya kabisa, sio watoto au mume, or ndugu anayeweza kunifanya nivulie that's not me kwa kweli. My happiness is everything coz I know my heart.
So hyo ndoa ni watoto to me doesn't matter anything that's cost me a peace of mind I don't give a f.k aisee
If your happiness comes first and your kids happiness comes second, hapo nimekuelewa by 50% coz you don't have kids yet.

Ila ungekuwa ndoani na watoto tayari halafu ukaongea hivi walau ningekuelewa by 70%

Lastly, ungekuwa ndoani na watoto juu halafu ukapata maswahiba kama ya huyu dada, then ukaongea hivi, hapo ningekuelewa by 99.9%
 
Pole dada
Najua inauma but trust me...muda ndo utakua tiba kwako.
Jipe muda ...endelea tu kujisikia unavyojisikia.

Na ili usaidike zaidi mtumie rafiki yako amjulishe jamaa kuwa asiache kucheat....aendelee tu mpaka hiyo ganzi unayoisikia itakapoondoka just like dat...

Hii solution imehakikiwa kisayansi na wala sio adithi. Nimeitumia na nimemsaidia mpenzi wangu. Siku hizi anajua kabisaaaaa me hawezi toshelezwa na ke mmoja
Sijakuelewa imethibitika kisayansi mpenzi wako aki cheat unamduhusu acheat aendelee hii haingii akilini labda kama humpendi
 
Pole dada
Najua inauma but trust me...muda ndo utakua tiba kwako.
Jipe muda ...endelea tu kujisikia unavyojisikia.

Na ili usaidike zaidi mtumie rafiki yako amjulishe jamaa kuwa asiache kucheat....aendelee tu mpaka hiyo ganzi unayoisikia itakapoondoka just like dat...

Hii solution imehakikiwa kisayansi na wala sio adithi. Nimeitumia na nimemsaidia mpenzi wangu. Siku hizi anajua kabisaaaaa me hawezi toshelezwa na ke mmoja
Sasa inakuaje ni rahisi hivyo
 
Ni bora mtu asikusamehe ujue moja kuliko mtu akusamehe halafu akabaki na kinyongo. Nina uncle wangu mmoja alioa, changamoto kubwa kwenye ndoa yake mke wake alikua na wivu kupindukia, ilifika hatua akaanza hadi kumnyima tendo la ndoa. Uncle wangu alivumilia alijitahidi kuwatafuta ndugu wa mwanamke wafanye vikao wamalize changamoto yao lakini mke akawa hatoi ushirikiano, mwisho wa siku kwa kua nae ana hisia akatafuta mchepuko huko nje ili awe anajiliwaza + kitimiza haja zake.. Yule mke wake alipozipata taarifa ndio akajirudi, akajidai amebadilika kweli, waka solve matatizo yao wakaendelea kuishi pamoja kama awali. Kumbe yule mke wake ana kisasi kakiweka moyoni, siku moja wamelala usiku uncle wangu akasikia mtu ameamka, lakini akajidai bado amelala, kumbe yule mke wake ameenda jikoni kuchukua kisu ili aje amchome nacho, bahati nzuri alimuwahi. Mwisho wa siku kila mtu ana maisha yake, wanavyoishi hata haijulikani kama wameachana ama vipi, ila uncle amemuachia nyumba huyo mke wake maana wana watoto wawili, yeye kaenda zake kupanga.

Sasa kwa situation kama hizi si bora mtu kujiondokea tu mapema ili kuepusha madhara makubwa zaidi. Kuna mdau mmoja huko juu kaongea point kubwa sana, kama hauna uwezo wa kusamehe ni bora uachane na mhusika maisha mengine yaendelee.
 
Hahaha sio wote soma wabawake wenzenu walivyofanya
[emoji116]
1 Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno;
1 Petro 3:1

2 wakiutazama mwenendo wenu safi, na wa hofu.
1 Petro 3:2

3 Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;
1 Petro 3:3

4 bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.
1 Petro 3:4

5 Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu, na kuwatii waume zao.
1 Petro 3:5

Wewe unadhani mienendo mibaya inakusaidia? Inakubomoa mara mbili zaidi
Umesahau na kuweka ule mstari unaosema mwanaume mzinifu Ni mjinga na hajielewi mkuu
 
Na sidhani kama umewahi kushinda na hutoshinda
,umri unapozidi kusogea utagundua ulipotea njia but it will be too late
Mimi Hadi uzeeni nitapambana tu na sijawahi kushindwa lolote nikidhamiria I'm a conquerer
 
Kosa afanye mwingine halafu uliyekosewa ndiyo uwe mtii daa watateseka sana, kama Yesu wamfuate huko aliko halafu yeye hakuoa kabisa hata demu hakuwa naye , ndiyo maana hata wanafunzi wake walipomkuta anaongea na yule msamalia walishangaa sana!
Huwa nawashangaa Sana Hawa watu, kwanini amnyime mwenzake Uhuru na yeye Yuko huru
 
Ni bora mtu asikusamehe ujue moja kuliko mtu akusamehe halafu akabaki na kinyongo. Nina uncle wangu mmoja alioa, changamoto kubwa kwenye ndoa yake mke wake alikua na wivu kupindukia, ilifika hatua akaanza hadi kumnyima tendo la ndoa. Uncle wangu alivumilia alijitahidi kuwatafuta ndugu wa mwanamke wafanye vikao wamalize changamoto yao lakini mke akawa hatoi ushirikiano, mwisho wa siku kwa kua nae ana hisia akatafuta mchepuko huko nje ili awe anajiliwaza + kitimiza haja zake.. Yule mke wake alipozipata taarifa ndio akajirudi, akajidai amebadilika kweli, waka solve matatizo yao wakaendelea kuishi pamoja kama awali. Kumbe yule mke wake ana kisasi kakiweka moyoni, siku moja wamelala usiku uncle wangu akasikia mtu ameamka, lakini akajidai bado amelala, kumbe yule mke wake ameenda jikoni kuchukua kisu ili aje amchome nacho, bahati nzuri alimuwahi. Mwisho wa siku kila mtu ana maisha yake, wanavyoishi hata haijulikani kama wameachana ama vipi, ila uncle amemuachia nyumba huyo mke wake maana wana watoto wawili, yeye kaenda zake kupanga.

Sasa kwa situation kama hizi si bora mtu kujiondokea tu mapema ili kuepusha madhara makubwa zaidi. Kuna mdau mmoja huko juu kaongea point kubwa sana, kama hauna uwezo wa kusamehe ni bora uachane na mhusika maisha mengine yaendelee.
Jamaa alikuwa na Mungu aiseee....!!
 
Ni bora mtu asikusamehe ujue moja kuliko mtu akusamehe halafu akabaki na kinyongo. Nina uncle wangu mmoja alioa, changamoto kubwa kwenye ndoa yake mke wake alikua na wivu kupindukia, ilifika hatua akaanza hadi kumnyima tendo la ndoa. Uncle wangu alivumilia alijitahidi kuwatafuta ndugu wa mwanamke wafanye vikao wamalize changamoto yao lakini mke akawa hatoi ushirikiano, mwisho wa siku kwa kua nae ana hisia akatafuta mchepuko huko nje ili awe anajiliwaza + kitimiza haja zake.. Yule mke wake alipozipata taarifa ndio akajirudi, akajidai amebadilika kweli, waka solve matatizo yao wakaendelea kuishi pamoja kama awali. Kumbe yule mke wake ana kisasi kakiweka moyoni, siku moja wamelala usiku uncle wangu akasikia mtu ameamka, lakini akajidai bado amelala, kumbe yule mke wake ameenda jikoni kuchukua kisu ili aje amchome nacho, bahati nzuri alimuwahi. Mwisho wa siku kila mtu ana maisha yake, wanavyoishi hata haijulikani kama wameachana ama vipi, ila uncle amemuachia nyumba huyo mke wake maana wana watoto wawili, yeye kaenda zake kupanga.

Sasa kwa situation kama hizi si bora mtu kujiondokea tu mapema ili kuepusha madhara makubwa zaidi. Kuna mdau mmoja huko juu kaongea point kubwa sana, kama hauna uwezo wa kusamehe ni bora uachane na mhusika maisha mengine yaendelee.

Mi nilicho ona kwa wanawake wengi huwa wanasamehe mdomoni tu ila moyoni huwa hawasamehi na ndio maana wengi unakuta akiwa kwenye maongezi na wenzake ukimuuliza baba fulani hajambo ata kujibu lipo halijambo mi nikishaona hivyo najua tayari huyu alishamtoa mme kwenye moyo wake.
Kuna mwingine jirani yangu mme alikuwa malaya sana. Akaanza kuumwa Ali muuguza vizuri tu maana alilazwa hospital.
Siku anaenda asubuhi kuleta chakula kumbe mme alifariki usiku sasa manesi wanafikiria jinsi ya kumwambia alivyowaona akawauliza amekufa? Wakamjibu ndio wala hakushughulika kuangalia maiti wala kulia ndio kwanza akaanza kupigia watu simu.
Baada ya kuzika nakumbuka alisema afadhali limeenda likafanye umalay huko liendako.
Sasa hivi ukimuona utajua tu yule baba alimkera maana kapendeza sana halafu watoto wake wako very successful yeye ana enjoy maisha sasa.
 
Unamaanisha kuna watu Mungu amesamehe dhambi zao na bado mbinguni hawatakwenda?
Hivi unaelewa hata dhana ya msamaha kweli? Soma hapa
[emoji116]
14 Tena, nimwambiapo mtu mwovu, Hakika utakufa; kama akighairi, na kuiacha dhambi yake, na kutenda yaliyo halali na haki;
Ezekieli 33:14

15 kama mtu mwovu akirudisha rehani, na kumrudishia mtu mali yake aliyomnyang'anya, akizifuata sheria za uzima, asitende uovu wo wote; hakika ataishi, hatakufa.
Ezekieli 33:15

16 Katika dhambi zake zote alizozitenda, hata mojawapo haitakumbukwa juu yake; ametenda yaliyo halali na haki; hakika ataishi.
Ezekieli 33:16

Msamaha ni ishara ya kwamba unakubali kuendelea na safari pamoja na huyo uliyemsamehe na kama hujawahi kukosea lolote katika maisha basi hupaswi kuupuza msamaha maana nawe umewahi kusamehewa.
Mimi nimekusamehe moyo mweupe chukua hamsini zako staki mazoea kabisa, wewe Baki na huo mstari wako mkuu. When I draw my boundaries I mean it.
 
Halafu eleweni mie sisemi kuchepuka ni sahihi iwe kwa mume au mke no , ishu ya utii nimesema wanawake wengi wamesahau wajibu huo kwa waume zao na ni moja ya sababu za wanaume kuchepuka ila utashupaza shingo kulaumu tu kumbe chanzo ni wewe mwenyewe.
Cheating ni choice has nothing to do with respect, Yani ufanye ujinga wako usingizie kutii, honestly Mimi sikutii na kuoa na kuruhusu kabisa, huo mda wa kutii na kubembeleza mwanaume Sina Bora basi awe na hela loh
 
Back
Top Bottom