Hahaaa ndio ukweli mkuu hawatujui tu wanawake jinsi tuko hatari Sana dunia hii wanawake asilimia kubwa Wana michepuko Tena na maisha haya yalivo magumu, vile tu wanawake hufanya kwa Siri kubwa sana
Hahaha sio wote soma wabawake wenzenu walivyofanya
[emoji116]
1 Kadhalika ninyi wake, watiini waume zenu; kusudi, ikiwa wako wasioliamini Neno, wavutwe kwa mwenendo wa wake zao, pasipo lile Neno;
1 Petro 3:1
2 wakiutazama mwenendo wenu safi, na wa hofu.
1 Petro 3:2
3 Kujipamba kwenu, kusiwe kujipamba kwa nje, yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi;
1 Petro 3:3
4 bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.
1 Petro 3:4
5 Maana hivyo ndivyo walivyojipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu, na kuwatii waume zao.
1 Petro 3:5
Wewe unadhani mienendo mibaya inakusaidia? Inakubomoa mara mbili zaidi