Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Wanawake wenzangu kujeni tutete kidogo!

Inafurahisha kiukweli!
Huyo ni muoga wa kuthubutu, ila anapenda matunda ya uthubutu(wa mwingine). Sasa watu kama hao ndio wahusika wakuu wa hii mada. Bahati nzuri wewe sio mtu wa kukatishwa tamaa, lasivyo hali ingekuwa tete.
 
Sio kama namtetea, ila kuna wanawake akikuta tu namba yako kwenye simu ya mpenzi wake (sio mume), utakoga matusi ukome. Plus IMO, I don't think it's wise kudeal na mwanamke mwingine, instead of kudeal na mumeo anayekuhusu, yeye ndo wa kuweka limit dhidi ya wanawake wa nje
Hao wanawake wa dizain hiyo mimi huwa nahis wa sociological problem ni tofauti na mwanamke ambaye yupo sawa kifikra na kiakili, katika hali ya kawaida huwezi kuta namba ya Mwanamke kwenye cm ya mumeo ukaanza ku react sidhani lazima uwe na tatizo,


Wadada niongeze hili kidogo, mwanamke ku mind simu ya mpenzi wake kama kuna namba za wadada au kuto mind inategemea na tabia ya mpenzi wake. Mdada akijua mwanaume wake sio mtulivu lazima atashtuka na ku mind kama kuna contacts za wadada kwenye simu. Na wasio mind lazima wana trust ya hali ya juu kwa wapenzi. Ni kama upande wetu pia, tukiwa na contacts za wakaka na jinsi ambavyo wapenzi wata react from that.
 
Hivi angalau nikiwa engaged si itaanza kuja kuja? Nijiandalie tu surprise engagement mimi mwenyewe
Yeah hiyo ni hatua kwahiyo zitaanza kurudi rudi, hebu muulize mkwe tatizo ni nini? Maana nakaribia kupoteza mtoto.
 
Hahha daah kuna watu ni raha sana. Ila kweli, mali bila daftari. ....wacha akeep mahesabu tu lol
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo hana tatizo na mahesabu kabisaaa, ye aanzishe tu project za kutosha maana mkaguzi na mtunza fedha anae mzuri tu.
 
Yaani hachezi mbali kabisa, maana mahesabu yasije kwenda kombo bureee!!
Yaani huyu hata Mimi namkubali. Kulikuwa kuna issue ya shamba tuuziwe. Kumpeleka kwenda kuliona, akasema ni msitu na lazima kuna chatu, tutaliwa. Mi nikalipia kiubishi. Msimu wa kwanza tumepata gunia 27 za mahindi. Nikamshauri tuweke store kulekule bush. Asilazimishe tuzilete Dsm zikae store na msimu wa njaa tuziuze. Eti kule bush zitaibwa.
 
Wadada niongeze hili kidogo, mwanamke ku mind simu ya mpenzi wake kama kuna namba za wadada au kuto mind inategemea na tabia ya mpenzi wake. Mdada akijua mwanaume wake sio mtulivu lazima atashtuka na ku mind kama kuna contacts za wadada kwenye simu.
Ni kweli. Ila kuna wengine insecurity ni tatizo kubwa kwao.
 
Wadada niongeze hili kidogo, mwanamke ku mind simu ya mpenzi wake kama kuna namba za wadada au kuto mind inategemea na tabia ya mpenzi wake. Mdada akijua mwanaume wake sio mtulivu lazima atashtuka na ku mind kama kuna contacts za wadada kwenye simu.
Gal kama ntakuta vitu vibaya , kumind hata mimi ntamind, na huyo bwana mkubwa ntamkaanga tu bila mafuta. But can't call another lady eti leave my man alone, God forbid. He personally has to draw a line dhidi ya wanawake wengine, otherwise kama sio mtulivu leo nakupigia wewe "leave my man", kesho nakuta ni espy namcall pia "leave my man", Abeg is he my man or our man? Kama kaamua kuwa public pizza utawazuia watu kumu-order? Na hao wanawake wenyewe utakaowapigia Omba wawe wapole, otherwise utakula vichambo upate na kichaa akhuuu
 
Wewe una Akili sana,Naunga hoja 100% Ukiona mwanaume amekuja kwako kwa lengo la kimaisha ujue Ana syllabus nzima ya jinsi mtakavyoishi ila kuna mambo huwa mnayaleta katikati ya safari yanatubadilisha kabisaaaa!
 
Yaani huyu hata Mimi namkubali. Kulikuwa kuna issue ya shamba tuuziwe. Kumpeleka kwenda kuliona, akasema ni msitu na lazima kuna chatu, tutaliwa. Mi nikalipia kiubishi. Msimu wa kwanza tumepata gunia 27 za mahindi. Nikamshauri tuweke store kulekule bush. Asilazimishe tuzilete Dsm zikae store na msimu wa njaa tuziuze. Eti kule bush zitaibwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Eti mtaliwa na chatu!!
Ushatambua hiyo ni weakness yake kwahiyo ukiwa na project unamshirikisha huku ukiendelea kumshawishi taratibu ila usikate tamaa, project ikimature taratibu nae ule uoga wa uthubutu utamuondoka, utashangaa baadae yeye ndio atakuwa anakuletea idea za project.
 
Huyo ni muoga wa kuthubutu, ila anapenda matunda ya uthubutu(wa mwingine). Sasa watu kama hao ndio wahusika wakuu wa hii mada. Bahati nzuri wewe sio mtu wa kukatishwa tamaa, lasivyo hali ingekuwa tete.
Yeah sure ni muoga mwaya. Ila uzuri ni mwanamahesabu mzuri tu lol. Wewe ukiwa na idea, iexecute tu ikisimama kauoga kanamtoka
Yaani huyu hata Mimi namkubali. Kulikuwa kuna issue ya shamba tuuziwe. Kumpeleka kwenda kuliona, akasema ni msitu na lazima kuna chatu, tutaliwa. Mi nikalipia kiubishi. Msimu wa kwanza tumepata gunia 27 za mahindi. Nikamshauri tuweke store kulekule bush. Asilazimishe tuzilete Dsm zikae store na msimu wa njaa tuziuze. Eti kule bush zitaibwa.
 
Gal kama ntakuta vitu vibaya , kumind hata mimi ntamind, na huyo bwana mkubwa ntamkaanga tu bila mafuta. But can't call another lady eti leave my man alone, God forbid. He personally has to draw a line dhidi ya wanawake wengine, otherwise kama sio mtulivu leo nakupigia wewe "leave my man", kesho nakuta ni espy namcall pia "leave my man", Abeg is he my man or our man? Kama kaamua kuwa public pizza utawazuia watu kumu-order? Na hao wanawake wenyewe utakaowapigia Omba wawe wapole, otherwise utakula vichambo upate na kichaa akhuuu
Mwenye commitment alinde hiyo commitment, atambue mipaka yake.
Kuanza kusumbuana na watu usio na commitment nao ni kujitafutia kichaa cha bureee!! Kuna dada mmoja kajikuta kagombana na kila ane mzunguka maana mumewe ni public property, sio wadogo zake, marafiki,majirani nk.
Mpaka akili ilipomjia kuwa anadeal na wrong enemy ilimchukua muda ndio akaanza kudeal na tatizo sasa. Angalau kuna unafuu.
 
Mwenye commitment alinde hiyo commitment, atambue mipaka yake.
Kuanza kusumbuana na watu usio na commitment nao ni kujitafutia kichaa cha bureee!! Kuna dada mmoja kajikuta kagombana na kila ane mzunguka maana mumewe ni public property, sio wadogo zake, marafiki,majirani nk.
Mpaka akili ilipomjia kuwa anadeal na wrong enemy ilimchukua muda ndio akaanza kudeal na tatizo sasa. Angalau kuna unafuu.
Kwa kweli Mungu atupe akili njema tu ya kudeal na hayo mambo, otherwise unaweza kuwehuka
 
Wewe una Akili sana,Naunga hoja 100% Ukiona mwanaume amekuja kwako kwa lengo la kimaisha ujue Ana syllabus nzima ya jinsi mtakavyoishi ila kuna mambo huwa mnayaleta katikati ya safari yanatubadilisha kabisaaaa!
Hilo suala la mambo kuja katikati lipo pande zote, ila ndio ubinadamu huo hatujakamilika. Hivyo inapaswa tu busara kutumika na kutatua changamoto zinazojitokeza. Lasivyo ndio vile tena!!
 
Yap, na mtu akiwa nayo linakuwa tatizo haswa.
Kuna kavideo ka kichekesho nimekatafuta sijakaona, mwanamke anagombana na alarm kuwa kila siku anampigia mumewe muda huohuo sasa amechoka!!
 
Gal kama ntakuta vitu vibaya , kumind hata mimi ntamind, na huyo bwana mkubwa ntamkaanga tu bila mafuta. But can't call another lady eti leave my man alone, God forbid. He personally has to draw a line dhidi ya wanawake wengine, otherwise kama sio mtulivu leo nakupigia wewe "leave my man", kesho nakuta ni espy namcall pia "leave my man", Abeg is he my man or our man? Kama kaamua kuwa public pizza utawazuia watu kumu-order? Na hao wanawake wenyewe utakaowapigia Omba wawe wapole, otherwise utakula vichambo upate na kichaa akhuuu


Haha, umenichekesha pa Public Pizza, everyone would want a piece of him na ukileta kujua unakula kichambo vilevile...lol!
Lakini hii ya kupigia mtu simu ni mwisho kwa kweli.
 
Mwenye commitment alinde hiyo commitment, atambue mipaka yake.
Kuanza kusumbuana na watu usio na commitment nao ni kujitafutia kichaa cha bureee!! Kuna dada mmoja kajikuta kagombana na kila ane mzunguka maana mumewe ni public property, sio wadogo zake, marafiki,majirani nk.
Mpaka akili ilipomjia kuwa anadeal na wrong enemy ilimchukua muda ndio akaanza kudeal na tatizo sasa. Angalau kuna unafuu.


Aisee!, hapa ndio huwa tunachemsha, when we deal with the wrong enemy. Spot on Girl!
 
Unawehuka kama kidogo sasa!! Neema ya Mungu inahitajika kwa kiasi kikubwa sana. Wapo wanaowehuka kabisa masikini.

Kwa kweli Mungu atupe akili njema tu ya kudeal na hayo mambo, otherwise unaweza kuwehuka


Sasa fikiria wale wale wanaowasema wenzao nje, kwanza katoka nje na pili anakusema huko nje alikotoka. Usiweuke mchezo? Halafu eti ndo utoke ukampigie simu huyo aliyeambiwa ABC zako. That is dealing with the wrong enemy!
 
Back
Top Bottom