Wanawake wenzangu, je ulivyo ndivyo upendavyo?

Wanawake wenzangu, je ulivyo ndivyo upendavyo?

Ubarikiwe mleta uzi!!!
Hamna kitu kigumu kama kuchukua hatua ya kubadilisha maisha yako... Unene ni lifestyle ndo mana wengi wanaona ni vigumu kubadilisha lifestyle iliowafanya wanenepe...
Ata kama huwezi kufanya mazoezi, basi jaribu kupunguza wingi wa chakula utaona mwili utakavopukutika!
 
Hongera sana. Huu uzi uliojaa mazuri kuhusu ndoa wengi huukimbia hutawaona humu lakini ungekuwa umekuja kuandika mabaya kuhusu ndoa saa hizi ungekuwa umeshafika page 30.
Sijui kwanini watu huwa tunakimbilia kusambaza mabaya ya ndoa tu wakati yapo mengi mazuri pia. Just emagine hata maisha na wazazi wako yana changamoto, sembuse watu mlokutana ukubwani!! Ndoa ni tamu kama mliooana mnatambua thamani ya kitu mlichokiingia. Nothing comes easly inahitajika wote mjitoe kutengeneza ndoa muitakayo. Aina ya ndoa mtakayoishi inategemeana na foundation mliyoijenga, hata wanangu nawalea ktk misingi imara ili hata wakikutana na dunia iliyovurugika still wakumbuke kuwa bado kuna mazuri mengi humohumo ni wao kuchagua njia iliyo sahihi tu.
 
hawa ndio wanawake bana
hizi ndizo ndoa bora
hizi ndo story za nda nazopenda kusikia
shukran
[HASHTAG]#missnatafuta[/HASHTAG] usicomment chochote
 
Ubarikiwe mleta uzi!!!
Hamna kitu kigumu kama kuchukua hatua ya kubadilisha maisha yako... Unene ni lifestyle ndo mana wengi wanaona ni vigumu kubadilisha lifestyle iliowafanya wanenepe...
Ata kama huwezi kufanya mazoezi, basi jaribu kupunguza wingi wa chakula utaona mwili utakavopukutika!
Shukrani mpendwa.
Kwakweli wengi ni chakula ndio kinawaponza, mtu anakula kama vile kesho hali na ukizingatia kazi afanyayo sio ya kutumia nguvu, hapo obesity lazima ikuhusu.
 
Hongera sana kwa kujitambua Mkuu.

Sijui kwanini watu huwa tunakimbilia kusambaza mabaya ya ndoa tu wakati yapo mengi mazuri pia. Just emagine hata maisha na wazazi wako yana changamoto, sembuse watu mlokutana ukubwani!! Ndoa ni tamu kama mliooana mnatambua thamani ya kitu mlichokiingia. Nothing comes easly inahitajika wote mjitoe kutengeneza ndoa muitakayo. Aina ya ndoa mtakayoishi inategemeana na foundation mliyoijenga, hata wanangu nawalea ktk misingi imara ili hata wakikutana na dunia iliyovurugika still wakumbuke kuwa bado kuna mazuri mengi humohumo ni wao kuchagua njia iliyo sahihi tu.
 
Shukrani mpendwa.
Kwakweli wengi ni chakula ndio kinawaponza, mtu anakula kama vile kesho hali na ukizingatia kazi afanyayo sio ya kutumia nguvu, hapo obesity lazima ikuhusu.
Kweli!!! Chakula ndo mpango mzima. Mi nashauri mtu anaetaka kupunguza mwili afuate yafuatayo...
1. Acha kula wanga mweupe... Wali mweupe, ugali wa sembe, ngano nyeupe.
2. Acha unywaji wa soda na vilevi... Tumia juice tena nzuri utengeneze mwenyewe. Punguza utumiaji wa sukari pia. Sijui biskutiz ice cream, cookies zote acha.
3. Punguza size ya chakula. Yaani usile ukashiba.
4. Ukiamka asubuhi kunywa lita mbili ya maji ya kawaida kabla ya kupiga mswaki... Ukitaka uondoe kabisa kitambi, kunywa lita moja ya maji ya uvuguvugu.
5. Ushughulishe mwili!!! Usijibweteke sehemu moja. Kama unaweza fanya mazoezi... Haijalishi ugumu wa zoezi bali hakikisha umefanya kwa dakika 45... Zinatosha saana. Unaweza ata ukatembea kwa dakika hizo na kuongeza spidi kadri siku zinavyoenda.
 
Kweli!!! Chakula ndo mpango mzima. Mi nashauri mtu anaetaka kupunguza mwili afuate yafuatayo...
1. Acha kula wanga mweupe... Wali mweupe, ugali wa sembe, ngano nyeupe.
2. Acha unywaji wa soda na vilevi... Tumia juice tena nzuri utengeneze mwenyewe. Punguza utumiaji wa sukari pia. Sijui biskutiz ice cream, cookies zote acha.
3. Punguza size ya chakula. Yaani usile ukashiba.
4. Ukiamka asubuhi kunywa lita mbili ya maji ya kawaida kabla ya kupiga mswaki... Ukitaka uondoe kabisa kitambi, kunywa lita moja ya maji ya uvuguvugu.
5. Ushughulishe mwili!!! Usijibweteke sehemu moja. Kama unaweza fanya mazoezi... Haijalishi ugumu wa zoezi bali hakikisha umefanya kwa dakika 45... Zinatosha saana. Unaweza ata ukatembea kwa dakika hizo na kuongeza spidi kadri siku zinavyoenda.
Mchango mzuri, na ukijizoesha inakuwa kawaida kabisa.
 
Katika mwili nachukia sana kuwa na tumbo kubwa..
Diet na mazoezi sijawahi kuweza sijui kwanini, ila nina bahati vitambi huwa naviona tu kwa watu
Hongera sana mama, hiyo ni bahati.
Kwakweli kitambi kinakera.
 
Back
Top Bottom