Wanawake wenye profession hizi wana tabia gani mapenzini?

Wanawake wenye profession hizi wana tabia gani mapenzini?

achaa kabsa miss neddy,miaka ya nyuma walimu walikua ndo wahanga wa vvu..kwa sababu cjui ya mshahara mdogo na mazngra ya kaz?

uliyoyataja yaweza kuwa yanachangia na mara nyingi walimu hawana hawana makuu
 
walimu mara nyingi ni waadilifu sanaa
huwa wana upendo wa dhati na wanaridhika na hawana tamaa za ajabu ajabu
Walimu wa wapi?kama wa nchi hii utakuwa umekosea sana!Nimeona wanavyosaliti wapenzi wao hadi inasikitisha!Magauni sawa wanavaa marefu lakini tabia hazifunikwi na magauni!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Walimu wa wapi?kama wa nchi hii utakuwa umekosea sana!Nimeona wanavyosaliti wapenzi wao hadi inasikitisha!Magauni sawa wanavaa marefu lakini tabia hazifunikwi na magauni!


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

katika kila nyanja wasaliti hawakosekani
walimu wasio waadilifu wapo lakini ni asilimia chache sana
 
hakuna watu wanamegeka kama walimu,, NAOMBA KUTOA HOJA.

mkuu nadhani hii ni changamoto kwa waalimu..

nadhani mishahara yao, mazingira ya kazi na ukosefu mwingine wa huduma za jamii kwa wakti muafaka navyo vinachangia tatizo hili..

au waonaje mkuu?
 
Mkuu mbona hujaweka waganga wa jadi?

hahahaaa!! mkuu kwani hiyo ni profession?

hebu nitajie vyuo viwili vinavyotoa degree mpaka Phd za uganga wa jadi!...

study case iwe Tz.
 
mkuu nadhani hii ni changamoto kwa waalimu..

nadhani mishahara yao, mazingira ya kazi na ukosefu mwingine wa huduma za jamii kwa wakti muafaka navyo vinachangia tatizo hili..

au waonaje mkuu?

upo sahihi sana.,,
 
upo sahihi sana.,,

mkuu unataka kusema kuwa mammbukizi ya HIV/AIDS ni makubwa sana kwa upande wa waalim tofauti na profession nyingine?
 
Mmmh na sisi wakata vitunguu na kushinda hme

Tabia ya mwanamke ni yeye mwenyewe huihusiani na professional na kama itahusika bhaas ni kidogo sana
 
mkuu unataka kusema kuwa mammbukizi ya HIV/AIDS ni makubwa sana kwa upande wa waalim tofauti na profession nyingine?

hiyo ni mada nyingine,, siwezi fahamu hlo..
 
hahahaaa!! mkuu kwani hiyo ni profession?

hebu nitajie vyuo viwili vinavyotoa degree mpaka Phd za uganga wa jadi!...

study case iwe Tz.

Hii elimu yake ni ya siri sana mkuu.

Kama unataka kujiunga wakuletee form usiku leo.
 
Me ni Certified Public Auditor katika suala la mapenzi sina tofauti na mwalimu wala housewife ila muhimu ni kuelewana tu na mwenza wako.
 
Back
Top Bottom