Nawajuwa vizuri hawa viumbe mkuu, akikwambia sitaki ndio anataka, akikwambia wewe nenda tu maana yake usiondoke, hujui ulichocomment, Mimi ni legendary mkuu, najuwa nilichoandika.Kasema ana kiu na safar kubwa ya moto mkuu sasa dompo si makosa hayo
Kweli mkuu!Wanawake wengi Wanaolewa ni wale wasiokuwa na matumizi mabaya ya fedha na ukipata mwanamke muwazi hasa kwenye matumizi itakuwa vizuri zaidi mwanamke kama huyu ata ukimpa pesa nyingi hutojutia sababu ni muwazi na ata mkifanikiwa hawezi kuonesha tamaa na yeye kumiliki mali wala kukuzunguka kufanya mambo mengine kwa siri
Napingana na wewe sio wanawake wote hakupi namba eti kwasababu hujamvutia vipi wale ambao wamepewa namba na wametolewa nje?kitu ambacho ukijui Wanawake wote wanapenda kutoa namba kwa watu wanaowafahamu wale ambao hawafahamu hata uwe kakuelewa ni ngumu kukupa wanawake wanaweza kutokukupa namba kwasababu zifuatazo
✓hakujui
✓kaolewa
✓Ana mchumba
✓kuogopa kuonekana ni cheap
✓Ajavutiwa na approach yako ya maneno
✓Umemkuta kwenye hali gani either akili yake haijakaa sawa
✓Hauna mvuto
✓kwa kutathimini kutoka kichwani kwa jinsi ulivyo either muhuni, unajikweza,unatabia mbaya, huna
sawa mkuuHaya Mambo yaache Kama yalivyo,hayanaga fomyula kbsa.
sio kweli!Mwanamke kama hujamvutia ndio atafanya hayo yote.
hahah wambie mkuu!Afya ya akili.......WANAWAKE wengi Wana hili tatizo......kujiona bonge la queen kumbe garasa la sinza........kujishaua oohh Mimi simtaki MTU ambaye Hana gari wakati mama yake alibebwa Kwa msele WA baskeli ya kukodi.....kujifanya nataka kwenda shopping town wakati kwao magenge yako nyuma Yao....kujikwatu kwatu oooh sijazoea uswahilini nipangie mikocheni wakati alizaliwa buguruni kwenye Banda la uhani ..
Hiyo ya kuomba namba ya simu naungana na wewe Sana inakera Sana hawa wadada wapo kama watoto inabidi uwende nao kwa akili lakini mkuu uzi wako ni mzuri sana kuna mambo nafikiri wanapaswa hawa dada setup wajifunze
hahah sawa mamamzungu!Unatushauri tugawe namba kama peremendeee
Wewe mwanamke wako unamruhusu kugawagawa namba yake kwa wanaume??
Binafsi sikubaliani na kugawagawa namba japo mimi siwezi kumnyima mtu namba yangu ila sasa kwenye kunipata ndo changamoto
sawa kabisa.Sawasawa
ni vyema kama mme elewa.Sawa tumekuelewa
Mdada una mambo weye hatare...natamaniga nikuone!Leo jmosi afu nna kiu na safari kubwa ya moto 😃
Uwe mvumilivu kutafuta hela sio Kwa wanawake utakufa.Nawashauri ke woote warembo wa Jf siwataji ni siri yangu . mkazeni buti msiwe cheap..tena sasa mzidishe ili wachache wenye uvumilivu tufaidi.....