Wanawake wengi wakiingia kwenye ndoa wanabadilika kitabia

Ndio maana mnapofunga ndoa mnaulizwa swali mpo tayari kuvumilaana kwenye shida na raha? Kama unaona mwanaume unaonewa na mke wako sheria zipo wazi mpeleke hata kwa viongozi wa dini yako wapate kuwashauri au hata kwa mjumbe au balozi au kwa wazazi wake au kwa mzee mwenye hekima aloyewazidi umri ili awashauri.Sasa mwanaume unapoamua kirudi usiku ukiwa umelewa eti unamkomoa kwa kumuoneshea jeuri hapo utakuwa utatui tatizo ndio utazidisha tatizo.Tatizo halikimbiwi angalia njia Bora ya kutatua.Tatizo Kuna baadhi ya wanaume mnapigwa mpaka na wake zenu lakini mnaona aibu kusema mnajikaza kisabuni na Tai shingoni eti kamanda sheria zipo wazi kuwalinda wote.Changamoto katika ndoa ni kawaida ndio maana Kwenye ndoa unapewa cheti mapema mtihani unafuata.Maandiko yanasema Wanaume ishini na wake zenu kwa akili haya maneno yana maana kubwa Tena sanaaa.
 
Vijana wa siku hizi ndio maana Wanawake wanawapanda kichwani,ukishaingia kwenye ndoa fedha haina nafasi ya kuamua hatima ya ustawi wa ndoa yenu bali ni upendo,nidhamu,kuheshimiana,utii na Mwanamke kuwa chini ya Mwanaume kimamlaka na maamuzi.
Uzi umefungwa rasmi
 
We are so smart enough hatuez kaa na lisumbufu ndani.... jitu kila siku ugomvi .. aisee utasikiamsafari kila aiku ubishane na watoto.. no time for stupid arguments kwanza kubishana na nyie ni kutokujiheshimu.. wenye akili ya ugomvi kila siku hiwaga wajinga hata kama lizuri
Ndio kanuni niliyonayo tangu ujanani hadi sasa nazeeka, Yaani Sikai na msumbufu ndani ya nyumba asee, hata ungekuwa na urembo kiasi gani kwa sababu ya k tu!!!! Aaahh yaan K tu

Kuna jamaa yangu aliletewa mapichapicha na mrs wake (alikuwa ni pisi ya maana) ndoa ni ya kanisani mwanamke ni mwajiriwa na jamaa ni mwajiriwa wana watoto wawili miaka minne dogo mwingine miaka 6 watu wakamshauri oooh ukiachana na mkeo watoto bado wadogo hawatapata malezi bora sijui bla bla nyingine

Jamaa anasema fomula yake ukimshauri x anaenda kufanya z, jamaa akamtimua mkewe kwamba aende kwao atamfata hadi leo miaka 4 hajamfata na hategemei kumfata (eti mpaka mwanamke mwenyewe akiamua kwenda mahakamani kudai talaka.) na demu nalo lilivyojinga lilikaa kwao kama miezi 9 tu likaenda kupanga.

Mpaka leo watoto wanasoma fresh umri umeongezeka havina time na maza, alichokifanya alienda kuchukua watoto wa kike watatu wa ndugu zake kaja kuwasomesha kwake na beki tatu yupo kwa hiyo inaonekana kujaa maana mrs wake alivyoondoka nyumba ilikuwa ukiwa sana alikuwa ye na watoto wake tu.

NB: mdada ukikutana na mwanaume ambaye unahisi unamwendesha unavyotaka jua kuna mawili bado ni mvulana au umemwendea kwa "sangatiti".

"Hakuna Mwanaume jeuri mbele ya Mwanamke mnyenyekevu"
 
The best comment tangu uzi umeanza! Its true kwenye ndoa wanaume wengi wanadhani kuwa kichwa cha familia basi ndiyo mke afuate kila kitu anachotaka hata kama siyo kizuri au mke hakifurahii!

It takes commitment! Kila mmoja kwenye ndoa aingie kwa lengo la kurekebisha tabia zake mbaya na kubaki na nzuri na kila mmoja awe tayari kumsikiliza mwenzie siyo mmoja tu ndiyo atake kusikilizwa!
Mwanaume, ukiona mwanamke wako anakusikiliza yaani we ndio msemaji ye msikilizaji(kukuelewa), kuheshimu huyo mwanamke usimpoteze..

Mwanamke, ukiona mumeo hakusikilizi kila unapotoa maelekezo yeye hafuati, achana nae katafute anayefuata maagizo yako
 
Wanaume wengi pia hatujui namna ya kuwa viongozi kwenye ndoa zao. Utii kutoka kwa mwanamke hauji tu ati kwa kuwa umemuoa.

Kuna namna unapaswa kuishi kama mwanaume unayejielewa, kiongozi, baba na mlinzi wa familia. Mkeo mwenyewe ana-salute kwako anajua kweli yuko na mme jembe lazima akuheshimu tu.

Lakini mwanamke akikubishia jambo dogo tu, tayari unaamua ukitoka kazini unapitia bar unarudi akishalala ati unaogopa kelele za mkeo.
Hapo mkeo lazima akushangae na akuone una mapungufu hasa ya kiuongozi.
Mwanamke anaweza kukuhoji kuhusu jambo lolote lile maana naye ni mwanadamu na ni partner wako kwenye maisha.
Sasa wewe badala ya kuonesha uanaume wako wa kutoa hoja zenye majibu na kuweka msimamo na uonvozi juu ya hoja hiyo unaishia kukimbilia bar.

Ni shida kubwa wanaume tunayo.
Hatujielewi haswa na tumekuwa waoga mno wa maisha na debate za kwenye ndoa. Mwanamke mpaka anashindwa kuelewa aishije na wewe maana huonekani kujua lolote na wala humuongozi kujua na kuufuata uelekeo wenu.

Sasa mwanaume anachelews kurudi nyumbani ati kisa hapendi mkewe anavyokagua simu yake. Wakati ukichukulia positively ni kwamba inawezekana anakupenda huyo na anaogopa kuibiwa baaaas.
Kwahiyo kama una mambo yako jua jinsi ya kuyaficha kwenye simu asiyaone au yafute. Akikagua anakukuta swafi baadae anazoea tu.

Tushaambiwa tuishi nao kwa akili. Akili asipoziona kwako anakudharau.
Watu kama nyie kila mahali mpo. Mnakuaga na busara sana. Big up

Ila na weww unaweza kukuta una maswahibu chungu nzima ktk ndoa

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Jamani jamani jamani mtusameheee jamani tusameheni na sisi ni binadamu..nyie mna madhaifu yenu nasi pia vivyo hivyo. Nadhani kuzaa kunyonyesha na majukumu ya familia na ulezi watt ni kitu kimoja kigumu sana. Nadhani kupitia hizi hatua kuna some hormones zinaisha au kuongezeka kupelekea tabia zetu zibadilike. Lakini wanawake wenzangu hakuna kitu kizuri kama kujishusha na kuomba msamaha mimi kuomba msamaha nipo vzr kwa sbb naweza kulipukaaa kama mtungi wa gas ila nikikaa na kutafakari naona kabisa namakosa nitaomba radhi aisee. Yani mm kugombana na Mr au kumletea kiburi na akakasirika huwa inanipa tabu sana yani nijiskia vibaya kama niko uchi so mara nyingi hukumbuka kuomba msamaha yaishe.

Kwenye profile ni picha yako halisi ?
 
Jamani jamani jamani mtusameheee jamani tusameheni na sisi ni binadamu..nyie mna madhaifu yenu nasi pia vivyo hivyo. Nadhani kuzaa kunyonyesha na majukumu ya familia na ulezi watt ni kitu kimoja kigumu sana.
Hivi kwani siku hizi mnalea au wasaidizi wa kazi ndiyo wanalea,na nyinyi si huwa mnatoka kwenda kutafuta ugali au wewe mama wa nyumbani ? Kama mama wa nyumbani hapo sawa.
 
Habari za muda huu wadau,

Nimekuja na kichwa hichi Cha habari, kutokana na juzi Kati tulikuwa na washkaji Kama wanne hivi wote tupo kwenye ndoa, kasoro mmoja wetu, single boi.

Tukajikuta katika mada ya kushare changamoto za ndoa zetu kila mtu kwa muda wake,

Katika kushare experience hizo nikagundua mambo yafuatayo;

Wanawake wengi wakishaingia kwenye ndoa wanabadilika Sana hasa kitabia, mwanzo anaweza kuwa alikuwa mpole, mcheshi, utulivu wa kutosha, heshima debe. Akishaingia tu anataka akupande kichwa ukorofi unaanza, maneno yanaanza, kesi zisizo na msingi, madharau, kutokujishusha na kadhalika..🤒🤒

Hii nimekuja kugundua inawagusa Sana wanaume wengi tuliooa kutoka na changamoto hizo, wengi wao wamefikia hatua ya kuwa na kamchepuko at least apunguze mawazo kidogo angalau, wengine kujikuta akitoka zake job anaingia bar kuzuga mpaka mida fulan akirudi akute wife ameshalala.

Wanawake wengi kwenye ndoa Wana tabia ya kutokujiamini, muda wote utakuta anakuhisi tu kwamba una mchepuko hata Kama huna, atang'ang'ana na simu yako ili kutafuta kisichopo ili mradi tu umnyime aongee au ampe akute hata salamu ya kike tu mparangane.

Mwanamke ndoani siku hizi kujishusha hakupo ukipanda naye anapanda, Tena zaidi anakwambia ukinigusa narudi kwetu na anaweza ondoka vile vile kwa jeuri na asirudi. (Hilo mshikaji wangu mmoja lilimkuta, Ila baadaye mwanamke akirudi mwenyewe)..

Ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika kwasababu Kama hizi, mafahali wawili kuishia zizi moja haijawahi tokea,.

Mwanamke aliletwa duniani kuja kumsaidia mume wake majukumu, kumuheshimu, kumtii n.k (hata vitabu vya dini vinasisitiza hilo)

Hii jeuri wanawake majumbani wanaitoa wapi siku hizi, sometimes unakuta jamaa mpole kweli lakini bado atakukoroga kichwa akae hapo juu..

Wanaume tunaogopa kuwahi majumbani kupumzika inabidi kunazuga bar, kwa washkaji, vibanda umiza, pengine kuchepuka kabisa( maana hata ratiba ya tendo la ndoa unapangiwa) ili mradi muda uende ukifika tu kula kulala..

Njoo tushare experience hapa na kubadilisha mawazo 😎😎

No offence🚶🚶
Mkeo hata kama ana matatizo vipi suala la kuwahi kurudi nyumbani ni la lazima sababu sisi ndiyo walinzi wa wake zetu.

Matatizo ya kifamilia hayakimbiwi bali tunatakiwa kuyatatua.

Mengine uliyoyasema ni kweli kabisa Wanawake wanayo,ila na sisi waowaji tunatakiwa kujitathmini,kuna sehemu huwa tunakosea.
 
Tafuta hela uheshimiwe
Bibie hela haimfanyi mwanamke akuheshimu bali heshima kwa mwanamke hunfanya na yeye akuheshimu.

Sisi tuna wake hili tunalijua,na watu wana hela hizi habar tunazo,kuna mwalimu mmoja alipata kusema haya "Mtoto wa kike akishakuwa anakushika Pumbu zako na kuzichezea,basi lolote anaweza kukufanyia haijalishi wewe na nani na una nini,sababu anakuwa anakujua mpaka ndani.". Almuhimu tunatakiwa kubadilika,wanawake wangapi wamekimba kwenye hela na wala hawakujuta kwa chochote na maisha yanaenda.

Nakomea hapa.
 
Habari za muda huu wadau,

Nimekuja na kichwa hichi Cha habari, kutokana na juzi Kati tulikuwa na washkaji Kama wanne hivi wote tupo kwenye ndoa, kasoro mmoja wetu, single boi.

Tukajikuta katika mada ya kushare changamoto za ndoa zetu kila mtu kwa muda wake,

Katika kushare experience hizo nikagundua mambo yafuatayo;

Wanawake wengi wakishaingia kwenye ndoa wanabadilika Sana hasa kitabia, mwanzo anaweza kuwa alikuwa mpole, mcheshi, utulivu wa kutosha, heshima debe. Akishaingia tu anataka akupande kichwa ukorofi unaanza, maneno yanaanza, kesi zisizo na msingi, madharau, kutokujishusha na kadhalika..🤒🤒

Hii nimekuja kugundua inawagusa Sana wanaume wengi tuliooa kutoka na changamoto hizo, wengi wao wamefikia hatua ya kuwa na kamchepuko at least apunguze mawazo kidogo angalau, wengine kujikuta akitoka zake job anaingia bar kuzuga mpaka mida fulan akirudi akute wife ameshalala.

Wanawake wengi kwenye ndoa Wana tabia ya kutokujiamini, muda wote utakuta anakuhisi tu kwamba una mchepuko hata Kama huna, atang'ang'ana na simu yako ili kutafuta kisichopo ili mradi tu umnyime aongee au ampe akute hata salamu ya kike tu mparangane.

Mwanamke ndoani siku hizi kujishusha hakupo ukipanda naye anapanda, Tena zaidi anakwambia ukinigusa narudi kwetu na anaweza ondoka vile vile kwa jeuri na asirudi. (Hilo mshikaji wangu mmoja lilimkuta, Ila baadaye mwanamke akirudi mwenyewe)..

Ndoa nyingi zimekuwa zikivunjika kwasababu Kama hizi, mafahali wawili kuishia zizi moja haijawahi tokea,.

Mwanamke aliletwa duniani kuja kumsaidia mume wake majukumu, kumuheshimu, kumtii n.k (hata vitabu vya dini vinasisitiza hilo)

Hii jeuri wanawake majumbani wanaitoa wapi siku hizi, sometimes unakuta jamaa mpole kweli lakini bado atakukoroga kichwa akae hapo juu..

Wanaume tunaogopa kuwahi majumbani kupumzika inabidi kunazuga bar, kwa washkaji, vibanda umiza, pengine kuchepuka kabisa( maana hata ratiba ya tendo la ndoa unapangiwa) ili mradi muda uende ukifika tu kula kulala..

Njoo tushare experience hapa na kubadilisha mawazo 😎😎

No offence🚶🚶
Napingana na wewe kwamba wanakuwa wamebadilika wakiingia katika ndoa. Wenye tabia hizo, wanakuwa wameonesha tabia halisi walizo nazo, baada ya kuzificha muda mrefu wakiwa katika uchumba.
 
Mm natamani kusilimu nioe mke wa pili maana duh. Siku hizi naenda kazini siku 7 za wiki na wala sina kazi kule naenda kukaa tu ofisini. Sinywi pombe sivuti sigara sishabikii mpira na wala huwa sikai kwenye makundi mm huwa ni job nyumbani ndo sehem za ratiba yangu kwa siku
Unayumba mkuu
Ndio kanuni niliyonayo tangu ujanani hadi sasa nazeeka, Yaani Sikai na msumbufu ndani ya nyumba asee, hata ungekuwa na urembo kiasi gani kwa sababu ya k tu!!!! Aaahh yaan K tu

Kuna jamaa yangu aliletewa mapichapicha na mrs wake (alikuwa ni pisi ya maana) ndoa ni ya kanisani mwanamke ni mwajiriwa na jamaa ni mwajiriwa wana watoto wawili miaka minne dogo mwingine miaka 6 watu wakamshauri oooh ukiachana na mkeo watoto bado wadogo hawatapata malezi bora sijui bla bla nyingine

Jamaa anasema fomula yake ukimshauri x anaenda kufanya z, jamaa akamtimua mkewe kwamba aende kwao atamfata hadi leo miaka 4 hajamfata na hategemei kumfata (eti mpaka mwanamke mwenyewe akiamua kwenda mahakamani kudai talaka.) na demu nalo lilivyojinga lilikaa kwao kama miezi 9 tu likaenda kupanga.

Mpaka leo watoto wanasoma fresh umri umeongezeka havina time na maza, alichokifanya alienda kuchukua watoto wa kike watatu wa ndugu zake kaja kuwasomesha kwake na beki tatu yupo kwa hiyo inaonekana kujaa maana mrs wake alivyoondoka nyumba ilikuwa ukiwa sana alikuwa ye na watoto wake tu.

NB: mdada ukikutana na mwanaume ambaye unahisi unamwendesha unavyotaka jua kuna mawili bado ni mvulana au umemwendea kwa "sangatiti".

"Hakuna Mwanaume jeuri mbele ya Mwanamke mnyenyekevu"
Speech kama hizi zinafariji kuwa bado Kuna wenye misimamo bado wapo hata mimi baadhi wanaume wenzangu wananiona kama mkoloni mwenye maamuzi magumu wenyewe wanaiga love screen za kikorea afu mtu anauliza kwanini wanabadilika badala ya kumkabili mtu eti wanakimbia nyumba
 
Back
Top Bottom