Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip? Huu ni utafiti niliofanya muda mrefu.
Nimegundua wanaume wenye akili hawafungi ndoa na wanawake, mfano Ronado, Micky Tyson, Alon Musk huyu nitajiri wa kwanza Duniani,R.kelly,50 cent n.k
Na wenye akili zaidi hawahoi wala hawataki kufanya mapenzi, mfano; Galie Galie, Sir Issack Newton, Dr. Greygory Parelman, huyu ni mrusi genius wa hesabu, Archmedes huyu ni baba wa hesabu Duniani, Albert Einstein, n.k
Mtu ukishafunga ndoa maana yake ni kwamba;
1. Upo gerezani kwasababu ukifurukuta mnagawana kila kitu.
2. Mwanamke akiwa pasua kichwa mfano malaya, n.k, utaendelea kutumia gereza lako kwa stress na msongo wa mawazo.
3. Kwa maana nyingine unakuwa chini ya mtu na anawezekana akawa mjinga mjinga au mpumbavu.
Nimegundua wanaume wenye akili hawafungi ndoa na wanawake, mfano Ronado, Micky Tyson, Alon Musk huyu nitajiri wa kwanza Duniani,R.kelly,50 cent n.k
Na wenye akili zaidi hawahoi wala hawataki kufanya mapenzi, mfano; Galie Galie, Sir Issack Newton, Dr. Greygory Parelman, huyu ni mrusi genius wa hesabu, Archmedes huyu ni baba wa hesabu Duniani, Albert Einstein, n.k
Mtu ukishafunga ndoa maana yake ni kwamba;
1. Upo gerezani kwasababu ukifurukuta mnagawana kila kitu.
2. Mwanamke akiwa pasua kichwa mfano malaya, n.k, utaendelea kutumia gereza lako kwa stress na msongo wa mawazo.
3. Kwa maana nyingine unakuwa chini ya mtu na anawezekana akawa mjinga mjinga au mpumbavu.