ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,579
- 44,821
Mimi nikiri nimewahi kuwa mtuamiaji wa mitandao ya kijamii kama Facebook, live sex broadcasting kama stripchart, telegram n.k aisee niseme wanawake Kwa jinsi wanavyokuja speed kwenye kujidhalilisha hii ni hatari Sana. Yaani wanajitia usugu Balaa Kwa kutumia MA lovense na madidlo mpaka sio poa kabisa. Vitoto vya 2000 nako haviko nyuma hasa katika Instagram na Facebook reels kuanzia bongo, Kenya mpaka South Africa kote kumechafuka hakuna Tena siri yaani kiungo kilichobaki cha siri ni Figo na ini. Na unakuta mwanamme anaoa mwanamke kisa kavutiwa na kalio afu ukute mwanamke anajirekodi Facebook na kutupia video Zake akitwerk.