Wanawake wengi sana hawaogopi UKIMWI

Wanawake wengi sana hawaogopi UKIMWI

Ingekuwa tunaishi duniani milele kama huugui hufi ningeogopa magonjwa, lkn kwa kuwa vifo havisababishwi na ukimwi tu sitouogopa ukimwi, ikitokea papuchi napiga kwenda mbele tena kavu kavu, sili pipi bila kumenya
 
Siku zote hatma ya uhai wa mwanamke ipo mikononi mwa mwanaume,ktk hilo ni wanawake robo wenye maamuzi wengine wanamwachia Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanaume tumeumbwa kuwaongoza wanawake hii kiu ipo automatically ndiyo maana ukimuuliza wanawake
kuhusu kuvaa condom maamuzi atakuachia wewe kwa sababu ndiyo kiongozi usipomsisitiza uvae kondom yeye anaona sawa tu
na kingine wanawake wengi wanapenda waaminike wao hawajali kwenye kuamini kwahiyo ni lazima uwaongoze sisi wanaume
kwasababu ndo wenye jukumu hilo
 
Mmh 100%wanaume ndo zenu... wewe unaangalia afya yake au yako? Sasa why usibebe zako ukifika wakat wa mechi valisha dudu lako kwani atakuvua wakat umevaa wewe???
 
ni kweli kbs, yani mara zote nisipokumbushia zana wao hata hawakumbushi tena ni kama hawajui kinachoendelea duniani na cha kushangaza hata walio na elimu nzuri, ndugu zangu mwanamke ni mwanamke tu na ndo maana tuliambiwa tuwaongoze so hilo ni jukumu letu.
 
sumtimes mm ndo maana nawakubal malaya

sijawah kutembea na mwanamke wa kawaida akanisistizia condom lkn hawa malaya ukiingia nae swali la kwanza una condom??

hawa wa madem ndo wanatuua basi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ndg zangu, nimeona bora tujuzane humu pengine tutapata ufumbuzi wa hili jambo.

Nimejaribu kuchunguza tangu nianze mambo ya mapenzi sijawahi kumsikia mwanamke ananisisitiza kuhusu kutumia kinga wakati wa mambo fulani kila mwanamke akiingia ndani mkafanya michezo yenu lakini linapofika suala la tendo mwanamke anakuwa kimyaaa hata ukamuuliza vipi tutumie au anakuambia sijui wewe mwenyewe.

Na nimejaribu kuwauliza wanaume wenzangu kuhusu hili nao majibu yao ni hivihivi kwamba wanawake wao huwa hawasisitizi uvaaji wa kinga

Mara tu ukijaribu kumuambia mbona hunisisitizi kuhusu kuvaa kinga? Wengi wao hujibu mimi naogopa mimba si UKIMWI kwani ni bora ungesema niogope malaria vipi watu wangu wa Jf mnalionaje hili?
Yaan baada ya maisha kuwa magumu .a.k.a vyuma kukaza wanawake wengi wanajtoa mhanga, wanajua wakisema ndom tutawakimbia😀😀😀😀 na hiyo pesa yako atakosa😛
 
Kuna mwingine hata kabla hujamgusa, anasisitiza balaa.... anakuwa mkali..... ila ukigusa maeneo tu... huwa wanasahau na kujikuta wanachanua tu...... na wale wanaopenda kusafishwa mtaro ndo huwa hata hawafikirii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom