Habari ndg zangu, nimeona bora tujuzane humu pengine tutapata ufumbuzi wa hili jambo.
Nimejaribu kuchunguza tangu nianze mambo ya mapenzi sijawahi kumsikia mwanamke ananisisitiza kuhusu kutumia kinga wakati wa mambo fulani kila mwanamke akiingia ndani mkafanya michezo yenu lakini linapofika suala la tendo mwanamke anakuwa kimyaaa hata ukamuuliza vipi tutumie au anakuambia sijui wewe mwenyewe.
Na nimejaribu kuwauliza wanaume wenzangu kuhusu hili nao majibu yao ni hivihivi kwamba wanawake wao huwa hawasisitizi uvaaji wa kinga
Mara tu ukijaribu kumuambia mbona hunisisitizi kuhusu kuvaa kinga? Wengi wao hujibu mimi naogopa mimba si UKIMWI kwani ni bora ungesema niogope malaria vipi watu wangu wa Jf mnalionaje hili?
Ni kweli kwa namna moja ama nyingine hali kama hiyo hutokea kwanza kutokana na kuwa mnapokuwa kwny tendo lenyewe
Msemaji wa mwisho ni mwanaume kutokana na kuwa yule mwanamke mpka amerithia umvue chupi means yupo tayari kwa lolote
Na ndo maana jibu linabaki sasa WEWE MWENYEWE TU coz anakosa kauli ya kukataa hata kumpa mimba yennyewe xo kwamba wanakataa nikuwa anakutahadharisha tu kuwa kuna kitu kama hicho
Sasa basi inakuwa ngumu kwa baadhi ya wanaume kuwaza condom kutokana kwanza utakuta anaona kukubaliwa ni kama zali hufanya mapema kuhofia yule binti anaweza kubadili mawazo na lengo lisifanikiwe yaaan OVER PRESSURE wengine ndo utakuta ndo wanaiba wake za watu kwa hiyo kuna mengi sana kuhusu suala zima
Ila pia kuna baadhi ya wanawake hawajielewi kabisa unaweza ukamshawishi mpime basi kama hataki kutumia kinga maana wengi hulalama kuwa zinawaletea fungus mara muwasho wengine hawapati ladha yaani pipi na ganda lake kwa hiyo
Ni muhimu sasa wewe kama mwanaume ujiweke desturi ya kuwa na wenzi wachache ama kuwa na ndoa yako tu ilikupunguza hatari ya kupata ukimwi pia
Kutumia condom endapo atakataa kupima HIv test
Pia kujikeep busy na majukumu yako coz maisha yenyewe yanabana sana kama ukitaka maendeleo hakuna muda wa hayo mambo labda kwa yule wako wa ndani tu
MAISHA YANAKABA UKIKABWA UNAKUWA SADAKA