Hata Mimi nashangaa.Unaandika kwa hisia zako au kitu unacho kidhahania tu... Yani unafikiri mambo yanaenda kienyeji namna hiyo..
Eti labor Dr. aanze dialogue na Mama.
Hizo ni critical moments. Ni utaalamu tu. Hivi kwnza mwanamke mwenye uchungu unamjua wewe... !?
Una mke!? Una mtoto!?
Si kweli
Daktari hushauri kulingana na mtoto alivyokaa na sababu zingine
Na hiyo zamani wanayoishupalia huenda ikawa walikufa sana watoto na hata wazazi kwa ajili ya uzazi ila tu ndio hakukuwa na wa kuyaweka wazi.Uzazi una changamoto nyingi, mwanzon wanawake wengi walikuwa wanakufa pamoja na watoto. Serikali wanapambana kuzuia vifo hivyo jiulize wanapambana navyo kivipi na chanzo cha vifo ninini? .
Asilimia kubwa watakaokuunga mkono ni wanaume na wanawake ambao bado hajazaa.
Mimi namshangaa sana mtoa maada na wanaomsuport.Uzazi una changamoto nyingi, mwanzon wanawake wengi walikuwa wanakufa pamoja na watoto. Serikali wanapambana kuzuia vifo hivyo jiulize wanapambana navyo kivipi na chanzo cha vifo ninini? . Asilimia kubwa watakaokuunga mkono ni wanaume na wanawake ambao bado hajazaa.
Hakika!!!Asilimia kubwa watakaokuunga mkono ni wanaume na wanawake ambao bado hajazaa.
Kama walikuwa wanazalia nyumbani Mkuu unadhani habari ya namba ilikuwepo basi.Mimi namshangaa sana mtoa maada na wanaomsuport.
Hivi operation kwenye matumbo ya watu wengine yanamuuma nini?
Tena wengi wanaomsuport wahajawahi hata kuingia labor kuona mtu anazaaje na possible complications..
Wote wanaomssuport hawajui hio zamani wanaoiongelea kifo cha mama na mtoto namba ilikua ngapi na sasa ni ngapi?
Mwisho: naona kila mtu apambane na familia yake...mtoa maana & the like wawakomalie wake zao wakapush labor
Nilitaka nikuite we na Marianah ili muje mwende naye Sambamba.
Japonikawaza sijui kama muna watoto.
Kwanza hata kusingekuwa na risk yoyote ..mtu ana uhuru wa kuamua anafanya nini juu ya mwili wake.. muhimu ni mume na mke kuelewana tu.Kama walikuwa wanazalia nyumbani Mkuu unadhani habari ya namba ilikuwepo basi.
Mi naona wasitake kuileta zamani ambayo hata hawaijui ilikuwa na changamoto zipi.
Hata baadhi ya wanawake hupendelea hivyo
Mshana!....Una maana kuwa wanaume tulio wengi pia tunapendelea kupasua marinda?
Kweli kabisa hakuna anayependa kile kidonda bana.
Marianah anao,jaribu kumwita .
Mimi bado Sina ila kwa nimeona kwa Dada zangu watatu wakila visu
Mmoja amekula Kisu mtoto wake wa nne.
Dk alimwambia kuwa akijifungua kawaida anaweza akafariki..maana BP zilikua juu Sana
Mwingine huyu uzao wake wa tatu...mapacha
Mmoja alitanguliza kichwa,mwingine miguu...dk akamwambia apasuliwe maana Ni hatari Hali km hiyo
Mwingine alipata uchungu amekaa bdae ikasindikana akawa anaenda kupotea...ikabidi wampasue
Yaani walipelekwa leba Huku nyuma tunaomba Sala zote jasho zinatokana.
Kile kidonda si mchezo...
Watu sio Kama wanapenda kupasuliwa
Lizarazu acha kukariri maisha
Siasa na uzamaniHuu uzi kwakweli unashangaza.
Mambo ya kitaalamu watu wanaleta siasa..
🤣🤣🤣🤣 sijui yuko wapi aje kutema cheche za kitu asichokijua. 🤣🤣🤣🤣
Ndio maana Kuna Kaka amesema watao unga mkono hoja Ni wale ambao bado hawajazaa na hawajawaona ndugu zao wakikumbwa na hii Hali.Kweli kabisa hakuna anayependa kile kidonda bana.
Wengi wanakuwa ni sababu ndio imesababisha tena zile za msingi. Na hao madaktari sidhani kama wanakuwa wajinga pale wanapoona suluhisho la kumuweka salama Mama na mtoto ni kisu.
Hao wanaowasemea hapa ni wachache mnoo. Sababu mtu akijifungua kawaida ndani ya muda mfupi anakaa sawa kuliko hicho kisu wanachoona wanawake wa sasa wanakifurahia.
Alishakupa mfano wa dada yake kule juu.sijui yuko wapi aje kutema cheche za kitu asichokijua.
Hakifai mdogo wangu hicho kidonda.Ndio maana Kuna Kaka amesema watao unga mkono hoja Ni wale ambao bado hawajazaa na hawajawaona ndugu zao wakikumbwa na hii Hali.
Kile kidonda Ni kibaya zaidi jamani...wasidhani watu wanakifurahia.
Waache kuwasingizia madaktar kwamba wanataka kupiga hela
Nilimuuguza huyo mama wa mapacha.Hakifai mdogo wangu hicho kidonda.