carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,060
- 13,713
Jambo la njia ya kuzaa ni maamuzi ya mke na mume.
Sasa wewe mkuu unatoka from nowhere unaanza kusema ndoa za watu..
Wewe umezaa kwa njia gani??
Kama ni mwanaume inabidi upambane na mkeo mambo ya TZ nzima hayakuhusu jomba.
Hata kama wanawake woote wakiamua kuzaa kwa kisu wewe haikuhusu as long as sio mtoto wako wala mke wako.
Acha kuwapangia watu jinsi ya kufanya kwenye miili yao
Sasa wewe mkuu unatoka from nowhere unaanza kusema ndoa za watu..
Wewe umezaa kwa njia gani??
Kama ni mwanaume inabidi upambane na mkeo mambo ya TZ nzima hayakuhusu jomba.
Hata kama wanawake woote wakiamua kuzaa kwa kisu wewe haikuhusu as long as sio mtoto wako wala mke wako.
Acha kuwapangia watu jinsi ya kufanya kwenye miili yao