Wanawake wengi hawajui kinachoendelea nchini na duniani

Wanawake wengi hawajui kinachoendelea nchini na duniani

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
8,102
Reaction score
23,690
Kuna mabinti, wanawake na madem wengi wanachosha kuzungumza nao.

Hawana uelewa wa kinachoendelea nchini, duniani, kwenye tech, siasa, uchumi na biashara wala mada pana.

Mazungumzo yao ni kuhusu drama za celebrities kama kina Diamond na Zuchu. Kutwa kufuatilia watoto wa Paula na Marioo.

Halafu hawafanyii kazi ndoto zao, kwao ni jukumu la mwanaume kuzitimiza.

Mtu hana muda hata wa kufuatilia taarifa ya habari hadi unajiuliza anaishije huyu yaani yeye tamthilia tamthilia na yeye.

Wanafurahi kukomenti kwenye page za umbea wapate likes.

Hata ukimchukua mwanamke aliyesoma ukimtoa nje ya field yake hakuna kingine anachojua zaidi ya umbea.

Mfano mzuri ni hapa JF ingia majukwaa ya tech, intelligence, great thinkers, kimataifa, siasa, ajira na tenda, afya huwezi kukuta mwanamke anacomment cha maana. Ila ingia mada za umbea na ngono MMU wako active

Na hili sio janga la Tanzania tu ni dunia nzima wanawake uwezo wao wa kuchambua mambo mapana ni mdogo sana na wengi hawajui chochote kwenye hii dunia wapowapo tu.

Ni jambo la kushukuru sana kuzaliwa wanaume
 
huo ni mfano tu kwenye mambo ya sports .....hapo unakuta ke huyo huyo kwenye tech ,siasa, internation news ..nk kuna wanawake wako fit sana kwenye kila nyanja.
Hata ukiangalia vipindi vingi vya mahojiano ya masuala mapana ya kitaifa na kidunia, uchumi, biashara michezo utakuta watoa mada, wachambuzi na wanaohost wengi ni wanaume

Wagunduzi wa techs ni wanaume, matajiri wakubwa dunìani wanaume, wanamichezo wakubwa duniani wanaume, risk takers ni wanaume

Itoshe tu kusema wanawake wengi ni vilaza mno
 
Kuna mabinti, wanawake na madem wengi wanachosha kuzungumza nao.

Hawana uelewa wa kinachoendelea duniani, kwenye tech, siasa, wala mada pana.

Mazungumzo yao ni kuhusu drama za celebrities kama kina Diamond na Zuchu. Kutwa kufuatilia watoto wa Paula na Marioo.

Alafu hawafanyii kazi ndoto zao, kwao ni jukumu la mwanaume kuzitimiza.

Mtu hana muda hata wa kufuatilia taarifa ya habari hadi unajiuliza anaishije huyu yaani yeye tamthilia tamthilia na yeye.

Wanafurahi kukomenti kwenye page za umbea wapate likes.

Hata ukimchukua mwanamke aliyesoma ukimtoa nje ya field yake hakuna kingine anachojua zaidi ya umbea.

Mfano mzuri ni hapa JF ingia majukwaa ya intelligence, great thinkers, kimataifa, siasa, ajira na tenda, afya huwezi kukuta mwanamke anacomment cha maana. Ila ingia mada za umbea na ngono MMU wako active

Na hili sio janga la Tanzania tu ni dunia nzima wanawake uwezo wao wa kuchambua mambo mapana ni mdogo sana na wengi hawajui chochote kwenye hii dunia.

Ni jambo la kushukuru sana kuumbwa wanaume
Usiwalaumu wala kuwakejeli. Fahari wawili hawakai zizi moja. Wao hawajaumbwa kuchakata mambo magumu,ndio maana wamewekwa kuwa chini ya Mamlaka ya Mwanaume!.
 
Umesema vyema

Ni wachache mno, mwanamke ambaye mnaweza mkakaa mkazungumza mambo ya msingi akatoa hoja zenye mashiko
Hoja zenye mashiko ndio kuchambua siasa? Binafsi sipo kwenye hizo platform umeorodhesha hapo juu lakini sio sababu ya kuanza kuchambua mpira wala vipindi vya mahojiano!

Kuchangia mada za hapa jf wengine tunajifurahisha tu na in real life we are totally different people! Kwahiyo we ukiona mtu kakaa kimya anasoma tu ndio mwanamke unaemdhani unafeli bruh! Kujua personality ya mtu kwa kutumia hivyo vigezo vyako kwa hapa, utakwama kijana!
 
Ndivo inavotakiwa.

Mwanamke anatakiwa awe Soft sio Musculine kama Mwanaume, na hii ndo inaleta haiba ya kike(Feminine trait).

Mwanamke mwerevu sana, Too critical, bado tu atakuboa kama una date nae.

Ndo maana tumeumbwa kuwatala, Sasa utatawalaje kiumbe chenye uelewa sawa au zaidi na wewe? si ndo mambo ya NRNE yanatokea hapo?
 
Back
Top Bottom