Kiluuj
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 692
- 278
Hali zenu?
Nimefanikiwa kukutana na karibia robo tatu wanawake niliowahi kusoma nao chuo kikuu.
Japo wana maisha mazuri, lakushangaza 75% yao hawajaolewa.Lakini la kushangaza zaidi ni kwamba 90% yao ni walevi(wanakunywa pombe ya bei ghali na/au hata kuvuta sigara).Nimekaa na kujiuliza, hivi ni kweli asilimia kubwa ya wanawake wanaolewa au kuvuta sigara ni wasomi au ni coincidence tu?
Kama ni kweli, inachangiwa na nini haswa?
Nimefanikiwa kukutana na karibia robo tatu wanawake niliowahi kusoma nao chuo kikuu.
Japo wana maisha mazuri, lakushangaza 75% yao hawajaolewa.Lakini la kushangaza zaidi ni kwamba 90% yao ni walevi(wanakunywa pombe ya bei ghali na/au hata kuvuta sigara).Nimekaa na kujiuliza, hivi ni kweli asilimia kubwa ya wanawake wanaolewa au kuvuta sigara ni wasomi au ni coincidence tu?
Kama ni kweli, inachangiwa na nini haswa?