Wafupi ukorofi wetu nini??@Mzabzab
Sijawahi kumuona binti mfupi kapendeza hata avae sare na binti mrefu
Huyu bwana anahangaika kama bisi kikaangoni...kila mara kuweka threads za ajabu ajabu!!!
Wafupi wengi wao wagomvi mno.
Wewe nae umetuchosha na vistory vyako vya uongo kha!mwanaume unaona raha gani kutunga vithread vya uongo?maana jana ulisema umeachana na mnywaranda unatafuta mwingine leo unaibuka na story tena sijui za nywele khaaa!!!!!
kweli bwana tall ladies ata mie napenda tena nataka yule akivaa high heels anipite kidogo urefu. that feeling ya kana kwamba she dominating me full burudaniiii.
alafu awe anavaa dresses na anabana belt kiunono loh...utamtaka.
last but not least warefu full upole. wafupi wakorofi sana.
eti mzabzab anasema mnapenda kulazimisha kuolewa....
Hujakutana na mkurya mrefu
Wafupi ukorofi wetu nini??@Mzabzab
Wewe mrefu au mfupi?