Wanawake wanatesa wanaume mabwege

Wanawake wanatesa wanaume mabwege

Mzee Kuna watu wana hela na wanafanywa mabwege mpaka huruma

Utajiri mkubwaa zaidi ni maarifa

Yani mi kuna jamaa huwa nawaangalia mpaka najiuliza "Hivi huyu ubongo wake unafanyaje kazi?"

Dunia ina ukame wa wanaume wenye mawazo ya hii haina ya heriel
Mkumbuke kuna wengine wamefungwa akili zao na hawajitambui hivyo yeye chochote atachoambiwa afanye anafanya tofauti na akili zake
 
BINAFSI NAONA MWANAUME KUPELEKESHWA NA MWANAMKE KIBWEGE BWEGE, LABDA UKOSE TU PESA. LAKINI KAMA UNA PESA,SIO RAHISI KWASABABU WANAWAKE WAZURI WAPO KIBAO NA WOTE WANAHITAJI WANAUME WENYE PESA.
ILA PIA USHIRIKINA UPO, UNAWEZA KUMUONA MWANAUME PAMOJA NA PESA ZAKE ILA KAWA BWEGE KUMBE NDIO MKEWE KASHAMTENGENEZA HIVYO.
 
BINAFSI NAONA MWANAUME KUPELEKESHWA NA MWANAMKE KIBWEGE BWEGE, LABDA UKOSE TU PESA. LAKINI KAMA UNA PESA,SIO RAHISI KWASABABU WANAWAKE WAZURI WAPO KIBAO NA WOTE WANAHITAJI WANAUME WENYE PESA.
ILA PIA USHIRIKINA UPO, UNAWEZA KUMUONA MWANAUME PAMOJA NA PESA ZAKE ILA KAWA BWEGE KUMBE NDIO MKEWE KASHAMTENGENEZA HIVYO.
😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom