Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 34,111
- 79,518
- Thread starter
- #41
😂😂Bwegenyege kabisa!!
NAKAZIAYaani unahudumia Mwanamke alafu anakupelekesha,
NAKAZIA
Uko sahihi sana mzee. Kinachonisikitisha idadi ya wanaume mabwege inazidi kuongezeka
Mkumbuke kuna wengine wamefungwa akili zao na hawajitambui hivyo yeye chochote atachoambiwa afanye anafanya tofauti na akili zakeMzee Kuna watu wana hela na wanafanywa mabwege mpaka huruma
Utajiri mkubwaa zaidi ni maarifa
Yani mi kuna jamaa huwa nawaangalia mpaka najiuliza "Hivi huyu ubongo wake unafanyaje kazi?"
Dunia ina ukame wa wanaume wenye mawazo ya hii haina ya heriel
ni wew au ndugu yake?Sijafahamu
Taikon mapenzi yatakuua siku
😂😂😂BINAFSI NAONA MWANAUME KUPELEKESHWA NA MWANAMKE KIBWEGE BWEGE, LABDA UKOSE TU PESA. LAKINI KAMA UNA PESA,SIO RAHISI KWASABABU WANAWAKE WAZURI WAPO KIBAO NA WOTE WANAHITAJI WANAUME WENYE PESA.
ILA PIA USHIRIKINA UPO, UNAWEZA KUMUONA MWANAUME PAMOJA NA PESA ZAKE ILA KAWA BWEGE KUMBE NDIO MKEWE KASHAMTENGENEZA HIVYO.
Nini tn tumemaliza😂Umemaliza mkuu
Somo limeeleweke ni wasiojitambua pekee ndo hawatomuelewa mleta uziNini tn tumemaliza![]()
🤣🤣🤣🤣Kwa kwer mwenye kuchukua point achukue mapemaSomo limeeleweke ni wasiojitambua pekee ndo hawatomuelewa mleta uzi