Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,404
- 6,228
daaaaah
Kuna jamaa frani
Yote uloongea Yana muhusu
Kuna jamaa frani
Yote uloongea Yana muhusu
JamaaJamaa ana kitu huyu asipuuzweJ
ana kitu huyu asipuuzwe![]()
Nakupa mauwa yako mzeee una bayanakukubali mpka kesho
daaaaah
Kuna jamaa frani
Yote uloongea Yana muhusu
Kula chuma hicho, Nimeelewa somo Kaka naacha ubwege Rasmi.![]()
Kweli nipuniguze ubwege
Ukiwa Huna hela lazima uchekechwe tuu , Ila kama hela ipo wanawake utawaogelea Sana , huwezi kumzingua pisi kali kama huna hela ni ngumu Sana mana kuna wahuni wenye shekeli watakuwa wanampa kiburi na atakuwa anawanyenyenyekea kinyama Ila wewe unapelekwa mwendo wa ngiri mkia juu😁😁😁
Hapa kweri inadhirisha bongo tuna kauvivu kakusoma Uzi mrefu mwamba naona unapita changamoto yakuteswa na mwanamke mpka unadondosha yalio moyoni
Taikon una kitu utafika mbali.
Sijafahamu
Mtoa mada ana Hoja asikilizwe......
Taikon manake nini?Hatari Sana
Mzee Kuna watu wana hela na wanafanywa mabwege mpaka hurumaUkiwa Huna hela lazima uchekechwe tuu , Ila kama hela ipo wanawake utawaogelea Sana , huwezi kumzingua pisi kali kama huna hela ni ngumu Sana mana kuna wahuni wenye shekeli watakuwa wanampa kiburi na atakuwa anawanyenyenyekea kinyama Ila wewe unapelekwa mwendo wa ngiri mkia juu![]()
Watafurai na shoo la ubabe kunyimwa unyumba famasiala nini😂MABWEGE sio rahisi kuelewa Kwa sababu yenyewe hayajui Kutumia Akili(majinga) kama mada inavyojieleza.
Soma Kwa ufahamu, kisha tafakari.
naunga mkono hojaWanawake daima wanakuhangaisha wakisha jua udhaifu juu yake.....na udhaifu unaonekana pale mwanzo wa mahusiano kwenye Yale unayoita mahaba......
Mwanamke anatakiwa uishi naye huku akijua mipaka yake na akivuka mipaka ni kumuonesha kuwa wewe ni mwanaume kamili...Kwa kufanya maamuzi magumu..........
Ukiwa na uwezo wa kustahimili maumivu ya kuachana na mwanamke basi wewe hakuna mwanamke Duniani atakufanya bwege......
Ishi na mwanamke kwa wema lakini mfanye ajue kuwa unaweza kuacha naye muda wowote akitoka nje ya mstari......
😂 😂Ukiwa Huna hela lazima uchekechwe tuu , Ila kama hela ipo wanawake utawaogelea Sana , huwezi kumzingua pisi kali kama huna hela ni ngumu Sana mana kuna wahuni wenye shekeli watakuwa wanampa kiburi na atakuwa anawanyenyenyekea kinyama Ila wewe unapelekwa mwendo wa ngiri mkia juu😁😁😁