Wanawake wanataka ndoa hawapati, ni kweli hamna waoaji?

Wanawake wanataka ndoa hawapati, ni kweli hamna waoaji?

Si kweli.

Wadada wengi huwatosa waoaji na kukumbilia kwa wajifunzao u-player.

Nawashauri...wadada punguzeni tamaa.Hakuna short-cut ya kuhongwa bure...kwani akuhongae hana ndugu wa kuwapa akupavyo ambao watamkumbuka hata kwenye sala...i hate this tabia kweli.
 
selestei

watoto wasio na baba ndo watoto gani? Kwan mimba zao zilitungwa kwa roho mtakatifu au
 
Last edited by a moderator:
Si kweli.

Wadada wengi huwatosa waoaji na kukumbilia kwa wajifunzao u-player.

Nawashauri...wadada punguzeni tamaa.Hakuna short-cut ya kuhongwa bure...kwani akuhongae hana ndugu wa kuwapa akupavyo ambao watamkumbuka hata kwenye sala...i hate this tabia kweli.

Hapo sijakuelewa wanahongwa ili waolewe ama??
 
Na gharama zinaweza kuwa zinachangia, akina dada wengne huwa wanapenda waolewe kwa ndoa za mamilioni na hapo mi ndo huwa tunachengana
 
Na gharama zinaweza kuwa zinachangia, akina dada wengne huwa wanapenda waolewe kwa ndoa za mamilioni na hapo mi ndo huwa tunachengana

Pole majukumu yanaanza kukushinda alfajiri, ikifika saa 7 mna watoto wa 4 sijui hali itakuwaje?
 
Ukikutana na mwanamke siku hizi anakuuliza maswali haya; baby au driving? Baby umejenga? Baby una masters? Baby utaninunulia Gari na iphone5? Baby nipeleke dinner Serena,. Ndio hiki kinachiwafanya wanawake wengi wabaki kuwa manungayembe

Kama yapo ya hivi wataishia kutumika tu kama vikombe miaka ya 1970 ilikuwa ukuona mwanamke hajaolewa ni ajabu sana saizi fasheni
 
Na wanaume wanatafuta wanawake wa kuwaowa hawawapati, Je ni kweli hamna waolewaji?
 
Kweli kaka?? Walivyojaa mitaani huko hata siamini..

Mi nawaona wakuspendi nao tu, wakuolewa siwaoni. Mwanamke unakutana nae siku ya kwanza unapaspendi nae Tsh 200,000/=(Kwa kumtega), kesho yake Tsh 300,000/. Wife materia ni kama wziri mkuu kwenye serikali, lazima akushauri namna bora ya matumizi ya kipato chako.
 
Na gharama zinaweza kuwa zinachangia, akina dada wengne huwa wanapenda waolewe kwa ndoa za mamilioni na hapo mi ndo huwa tunachengana

Hao wanataka Harusi(Sherehe) kubwa ili wawatambishie ma x wao, mashost n.k. Ndoa ni mfumo mzima wa maisha ndugu toka siku mlioona to death... hapa ndo mtihani
 
Mi nawaona wakuspendi nao tu, wakuolewa siwaoni. Mwanamke unakutana nae siku ya kwanza unapaspendi nae Tsh 200,000/=(Kwa kumtega), kesho yake Tsh 300,000/. Wife materia ni kama wziri mkuu kwenye serikali, lazima akushauri namna bora ya matumizi ya kipato chako.

Itakuwa unachukua type za kina Wema nini kaka??
Mbona wapo wengi na hawataki makuu kama unavyoongea.. Jaribu kubadilisha mazingira ya unapotega.. Utafanikiwa..
 
Back
Top Bottom