Wanawake wanataka ndoa hawapati, ni kweli hamna waoaji?

Wanawake wanataka ndoa hawapati, ni kweli hamna waoaji?

bonna

Mmhh kwa point hiyo manungaembe watazidi kuongezeka.. Kwani si ndio nyie mnawadanganya wanawake eti usiponipa basi hunipendik na ntajuaje kama sijui kama mambo unayaweza na maneno kibao kumbe unataka tuu umfunue dada wa watu na kumuacha.. Jamani jamani acheni kuchezea feelings za wanawake. Hebu imagine ingekuwa wewe ni mwanamke ungejifeel vp..
 
Last edited by a moderator:
Wanachagua sana

Kwenye kuchagua akifika 35 ndio anajikuta anatafuta mzee aliyefiwa ama ndio anaanza kuwa mchepukaji rasmi..tabia ya mwanamke inaanza kubadilika kuanza kama Kuchanganyikiwa,, ukali uliopitiliza..
 
Mmhh kwa point hiyo manungaembe watazidi kuongezeka.. Kwani si ndio nyie mnawadanganya wanawake eti usiponipa basi hunipendik na ntajuaje kama sijui kama mambo unayaweza na maneno kibao kumbe unataka tuu umfunue dada wa watu na kumuacha.. Jamani jamani acheni kuchezea feelings za wanawake. Hebu imagine ingekuwa wewe ni mwanamke ungejifeel vp..

Mi sijasema nawafunuaga waschana ... na msichana yeyote anae toa sex kuonyesha kua anajali...basi hajiamini....it doesnt make sense...kama mwanaume anakupenda kweli..wewe kama msichana kumnyima sex haitakiwi kua kigezo cha kukuacha..tatizo wanawake nao they are getting dumber as days goes on.....najua kwa kusema hivi nawaharibia washkaji zangu...ila its the fact..wanawake inabidi wajue tofauti kati ya kupendwa na kutamaniwa.
hahaha eti usiponipa sex nakuacha... huu nao unaitwa upendo eish!! i dont understand this world
 
Wanaume wamekuwa wachache sana....wengi wavulana na wengine mashoga

Unaposema wanaume wachache sana unatumia sample ipi?? Umeenda hadi wapi kuwatafuta na kuwakosa??


Kwahiyo umeamua kutokuolewa??
 
Drama za wanawake zinakimbiza wengi, mwanamke anataka kuishi maisha ya muvie wakati yupo afrika,

Upande wa wanaume mob saikoloji inaangusha wengi sana, unakuta ana mpenzi wake na wapo katika hali nzuri ya kufunga ndoa ila yeye yupo bize na kula ujana anakuambia ataoa akiwa na miaka 30+
 
Sina uhakika na ulichokiandika kuwa miaka 33 anatakiwa kuwa ameolewa?
Hebu usiwatishe wadada hasa wale walioenda shule.binafsi naona miaka 33 hajachelewa kiasi cha kumshangaa
ni mtazamo wangu lkn.
 
Why buying the whole cow if you can get milk peke yake.... Sababu sio kua wanawake wamekua demanding au tabia au sijui nini...lets be honest..nowdays...kijana anaweza kupata kila kinachopatikana kwenye Ndoa akiwa bado single.... sex,romance,etc.. sasa ndoa ya nini/

hao wanawake demanding hata zamani walikuepo...tofauti kubwa kati ya miaka ya zamani na sasa ivi..ni kuwa sex imekua soooo cheap...you can get it anywhere..tena sometimes for free na manjonjo kibao. ukweli ni kua ...miaka 10 inayokuja...ukiskia mtu anaoa...utakua unashangaa...maana kitakua kitu nadra sana..Binafsi sijaoa wala sitamani/sina plan ya kuoa...i think being single is cool...kwa miaka ya sasa ivi...its the best less stressful life..im talking from expirience.
Haya mkuu bonna tumekusoma naomba nikusaidie kitu,maisha ya single ni mazuri for sure lakini mwafrika bila familia kiheshima huna tofauti na beberu namaanisha mbuzi dume,ambaye anamega sana lakini mwisho wa siku hawezi kukuonyesha mwanae hata mmoja,lkn kitu kinaitwa kumega majike anafahamu style zote.
sasa na wewe usimuige mbuzi ,wapo wanawake waadilifu katikati ya makanjanja kama ilivyo kwa wanaume tafuta mmojawapo oa.Nasikitika kwamba wengi hamjaonja maisha ya kuwa na mke wako,kuna uhitaji ambao mke wako anakusaidia na sio wadada poa,chukulia mfano ukiumwa mke ni ndugu yako wa karibu anaweza hata kukuogesha,
Kama mtu hajihurumii basi ahurumie ndugu zake watakaolazimika kumuogesha mtu mzima akiwa mgonjwa wakati ulitakiwa uhudumiwe na mke wako.
 
Last edited by a moderator:
Hata wanaume wasiooa siku hizi nao kibao...
 
ng`wana ong`wa kulwa

Hahaha nimecheka especially hapo kwa mama mkwe ulivyodescribe....kwaio wanaume mnachunguza mpaka familia...hata sis tunachunguza hivohivo na ndo maana hakuna waoaji......
 
Last edited by a moderator:
Kama faida ya kuoa ni mpaka mtu augue basi kuoa/kuolewa hakuna faida. Maana ni mara nyingi tumeshuhudia wake/waume wakiwakimbia wenza wao pindi wanapokuwa wagonjwa. Hasa magonjwa yanadumu.
Tusidanganyane faida ya ndoa ni kugegedana tu. Na umuhimu wa ndoa umetoweka baada ya mgegedo kuzagaa nje ya ndoa. Hakuna raha, faida ama umuhimu wa ndoa zaidi ya kugegedana. Mengine ni ziada sana na yaweza kufanywa na wafanyakazi wa ndani.

MENTION=45940]bonna[/MENTION] tumekusoma naomba nikusaidie kitu,maisha ya single ni mazuri for sure lakini mwafrika bila familia kiheshima huna tofauti na beberu namaanisha mbuzi dume,ambaye anamega sana lakini mwisho wa siku hawezi pkukuonyesha mwanae hata mmoja,lkn kitu kinaitwa kumega majike anafahamu style zote.
sasa na wewe usimuige mbuzi ,wapo wanawake waadilifu katikati ya makanjanja kama ilivyo kwa wanaume tafuta mmojawapo oa.Nasikitika kwamba wengi hamjaonja maisha ya kuwa na mke wako,kuna uhitaji ambao mke wako anakusaidia na sio wadada poa,chukulia mfano ukiumwa mke ni ndugu yako wa karibu anaweza hata kukuogesha,
Kama mtu hajihurumii basi ahurumie ndugu zake watakaolazimika kumuogesha mtu mzima akiwa mgonjwa wakati ulitakiwa uhudumiwe na mke wako.[/QUOTE]
 
siku hizi hakuna mtu anayehangaika na kutongotha! Walah maisha magumu watu wanasaka ngawiro sema pia wengi unakuta ni shindikanaa!! Samanini kama kuna aliyeguthwa.
 
Back
Top Bottom