Wanawake wanao kunywa pombe hawana mvuto

Wanawake wanao kunywa pombe hawana mvuto

HAalfu acheni izo mambo, apa tungeweka kigezo cha kunywa/kutokunywa inaonekana tusingepata kabisa wake/wapenzi eeeh?

Thanks god lara 1 , Evelyn Salt, amu na wengineo wanaelewa hii mambo

Hommie Asprin hapa ninaona nina conflict of interest nisichangie sana:angry:
Ewaaaaa........ rudi ofisini tupange maandamano. Ukawa bila maandamano haikubaliki!!
 
Haipendezi kabisa mwanamke kunywa pombe.

Kwa kweli nikishaona mwanamke mnywaji wa pombe huwa namdharau sana na kama nilikuwa nina mpango nae for sure namtema mazima.

Dah kumbe tuko wengi, mi nilidhani inatokana na mimi kutokunywa
 
Ewaaaaa........ rudi ofisini tupange maandamano. Ukawa bila maandamano haikubaliki!!

Tuanzie mtaa wa Fyatanga, Tuje Brajec, kisha tumalizie Marangu nite aprk pale, atapokea maandamano komredi Bigirita na kada maaarufu Fidel80
 
Last edited by a moderator:
Haswaaaaa na uzuri wa pombe ikikolea unakua jasiri hata ije defender y police huogopi ki2

ha ha ha kuna jamAa alikua tungi basi kapita kitaa katukuta tuko kijiweni akatuangaliiaaa akjisemea mwenyewe "hawa watu au matofari?" daah nilicheka sana aisee.....
 
ha ha ha kuna jamAa alikua tungi basi kapita kitaa katukuta tuko kijiweni akatuangaliiaaa akjisemea mwenyewe "hawa watu au matofari?" daah nilicheka sana aisee.....

Ndio raha y pombe hiyo unaweza kutana na simba ukaona paka hpo ndio ubaya wake
 
Nyie mnaongea ...kuna wadada wakishalewa hata hawajui walitembea na nani, na walimfanya nini...nshasoma na wadada wawili design hii...
 
Koooooooooh! *Nasafisha koo tu jamani*

There aint a SEXY sight as a woman with a glass of wine, shots, liquor, beer et al! Inakuhabarisha tu TONIGHT WE ARE GETTIN NASTY! No pillow will be left untouched! Ukikaka na demu hanywi anakuwa such a TIGHT A.SS mpaka kero! Will tuondoke! Wille mda bwana! Wille fyoko fyoko! Hadi wadau tunasema Wille tutolee kiwingu, STIMU ZIMELIPIWA HIZI, TUSIKATANE STIMU KIREJAREJA!

Kuna kazi zile za kiutu uzima huwezi kuzifanya sobber kama mwanamke! Mfano wanaume wavivu unakuta hajanyoa miezi, na ile mizivu imechachamaaa! EEEEEWWWWWW! Yaaaaaaakh! Gorrila si gorrila, zinjanthropus si zinjanthropas, haeleweki mtu au mzimu! Paja zote zimejaa kichaka! Afu uwe sobber! HHAHAAAAAAA! Its not a laughing matter! Yaani unaweza hisi unalala na Zinjanthropus! Hahahaaaa! Ila ukiwa ndani ya shots zako za kutosha za Taquilla! UNSEREREKA TU! Anajisemesha ujue sijashae mda, sikujua tutafikia hapa! Vyombo vipo kichwani moja haikai mbili haisimami Unaweza piga baby you is so so sexy! I Yaani vimalaika hivo ndo unasema mazivu! Hahahaaaaaa! Kuna kazi zingine watu wazima kina Maddame B mnanielewa haziendi ukiwa sobber!

Plus mwanaume asiekunywa simtki! Anafanya kazi kama analimaaaa!!!!! Akhaaaaaa! Na hivi yuko sobber akikuona unasikizia utamu hulalamiki anasimamia baiskeli, Mmmmmmmmh! Akhaaaaaaa! Usipomfanyia kitu ANADAI KABISAAA! Kumbe ulikuwa unakikwepesha! Utasikia "mbona ulimi haufiki hilo eneo flan? Afu anzuga please baby, please nifanyie, pleaseee!" Pakutokea hunaaaa ndo inabidi ufikishe ulimi utafanyaje!! Hahahaaaa! Ila mlevi unaamua leokwa kosa la juzi hiki sifanyi, hiki sifanyi, kwa raha zako! Jamani wanaume sobber hapana aiseee!
Sssshhhhhhh kuna wengine wametoka namtumbo juzi.. Unaongea vitu technical mnooo
 
Last edited by a moderator:
Kwanin umnyime kunywa pombe au unawivu kuwa akilewa atajiachia na utaporwa mwanamke wako..mwaache atumie ujana wake ipasavyo bali mchunge asilewe sana nakufakamia pombe mpaka aonekane cha pombe..but mwanamke anastahili anywe vitu vinavyomsisimua na kuamsha hisia sio anakunywa na kufakamia bia mpaka anarudisha chenji baa:A S-eek:
 
Napenda kupata mululu with the likes of Amu,Lara 1 just to mention a few huwa mnanikosha sana sijasahau pia Evelyn salt,Miss Chagga na Khantwe karibuni mululu one of this days
Shots za tequilla,Zanzi,savannah,castle light,red na white South African wines bila kusahau dompo our very own Dodoma wine just to mention a few najua mnapenda sana hayo maji,
shughuli ya mademu wapiga mululu tunaijua sisi,Kama hujawahi jaribu usifanye coz unaweza ukaachiwa history au umkick out mama watoto ni aibu aisee-words can't express
 
Back
Top Bottom