Wanawake wanao kunywa pombe hawana mvuto

Wanawake wanao kunywa pombe hawana mvuto

Haipendezi kabisa mwanamke kunywa pombe.Kwa kweli nikisha ona mwanamke mnywaji wa pombe huwa namdharau sana na kama nilikua nina mpango nae for sure namtema mazima.


yaani kila kitu mwanamke mwanamke

Kwani hizi Pombe zimetengenezwa kwa ajili ya wanaume tu Loh duniani kuna mengi sawa sawa na bahari

Hivi Amarula ni ya wanaume?
 
Nachukia pombe kama nisivopenda mademu, although they are two things navotumia to relax na kufurahi wakati wa matumizi na kuvichukia punde ninapozinduka!!

Bt for my lovely "boo", big NO.
 
aisee nina washkaji hawanywi pombe lakini tunakaa nao kijiwe cha gambe hadi mida mibaya!!!!!!

umeona eeeh mtu kutokunywa haifanyi akose kampani na dili atapata kama kawa mradi ajue kujichanganya tu
 
pombe kwa jinsia zote si nzuri kwanza mnywa pombe mara nyingi huwa anazeeka haraka kimtindo

kwakel mtaan kwetu kun mwanamke akish kunywa pomb tu jaman atatukana tena haludii tusi utase anasoama
 
Habakuki 2:15-16, inasema hivi: 15 Ole wake yeye ampaye jirani yake kileo, wewe utiaye sumu yako, na kumlevya pia, ili kuutazama uchi wao!
16 Umejaa aibu badala ya utukufu; unywe nawe, uwe kama mtu asiyetahiriwa; kikombe cha mkono wa kuume wa Bwana kitageuzwa ukipokee, na aibu kuu itakuwa juu ya utukufu wako.
UMEOOONA HABAKUKI HAPO ANAKATAZA KUMPA MWENZIO SIO USINYWE WEWE? Uongooooo? HAJASEMA USINYWE POMBE! Mi sijaona aliposema hivo! Labda uni boldie hio mistari!

NIMEULIZA HIVI KULE KANO YESU ALIFANYA NINI KWENYE ILE HARUSI?
 
Tatizo ulimpata aliyekunywa wanzuki....... leo mwambie ajaribu hii kisha uje kutusimilia.
Amarula_auf_Eis.jpg
 
Kuna demu aliniacha mdomo wazi....ukimcheki yupo very classic nkamuuliza siku umeamua haswa kunywa mwisho ngapi, akasema sizidishi 9! Nimeshangaa sana, mwanamke hadi bia 9?

kama castle lite ni sawa
 
Wanawake unaosocialize nao ni wapi hao? I like bi.tches who drink, especially classy drinks e.g wine, mojitos, margaritas and other cocktails etc. Inapendeza kwa kweli na wengi huchangamka. They become their true selves. Na kama amekumind ndio anafunguka inakuwa mteremko. For me a turn off ni cigarette smoking. When a girl smokes kwa kweli hapana. But booze aah anywe tu achangamke.
 
umeona eeeh mtu kutokunywa haifanyi akose kampani na dili atapata kama kawa mradi ajue kujichanganya tu
Sisi mtu asiekunywa pombe UNLESS TUMTUMIE KAMA DEREVA hapanaaa asieee atatu boa! Akafie mbele na walokole wenzie! Mchungaji uwanja wa shetani umefata nini.?
Juzi tumeenda sendoff ya walokole, eti wanatupa bavaria na vijuice! Watu tuna grants zetu na visichana kwenye pochi, chini ya meza tumepanga WINDHOECKza kutoshaaa, weee fullsahngweee! Meza full kuchangamkaaa! MC ALIPATA AMEN ZA KUTOSHA KABISAAA TOKA MEZA YETU! Wakaka wakilokole wakija pale kutaka kampani wanashangaa too much hostility mpaka wanaondoka, nani anataka watukate stimu wakati stimu zimelipiwa!???:A S wink:
 
Wanawake unaosocialize nao ni wapi hao? I like bi.tches who drink, especially classy drinks e.g wine, mojitos, margaritas and other cocktails etc. Inapendeza kwa kweli na wengi huchangamka. They become their true selves. Na kama amekumind ndio anafunguka inakuwa mteremko. For me a turn off ni cigarette smoking. When a girl smokes kwa kweli hapana. But booze aah anywe tu achangamke.
Hahahahaha! HOW ABOUT YOU BUY ME MARGARITAS ONE DAY! :A S wink: Za samaki samaki zinajitahidi tahidi!
 
kama pombe we waiona tamu kwanini yeye asinywe? du nilikutana na mdada anakunywa nyagi kama maji yani anagida mzinga nikabaki natoa macho.
 
Mvuto nna....naomba smirn off blac waiter
Smirnoff uchanganye na Amarula kitu kinakaribia Vodka! Machalii wa Arachugga wanapenda sanaa hiikitu, na lile baridi unachemka mpaka kijashoo sweta la kazi gani?
Cc Heaven Sent vitu kama hivi ni Original story huwezi kutungaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom