Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,539
...hata mwanaume mnywa pombe pia hapendezi.....kwa kuwa wengine huwa wanajinyea na kujikojolea...na baadhi yao mpaka wanaliwa kiboga kwa ajili ya pombe...
Nimemiss zanzi, siku hiyo nitatambaa haki a mama....
Kuna demu aliniacha mdomo wazi....ukimcheki yupo very classic nkamuuliza siku umeamua haswa kunywa mwisho ngapi, akasema sizidishi 9! Nimeshangaa sana, mwanamke hadi bia 9?
Kuna demu aliniacha mdomo wazi....ukimcheki yupo very classic nkamuuliza siku umeamua haswa kunywa mwisho ngapi, akasema sizidishi 9! Nimeshangaa sana, mwanamke hadi bia 9?
Nimemiss zanzi, siku hiyo nitatambaa haki a mama....
pombe kwa jinsia zote si nzuri kwanza mnywa pombe mara nyingi huwa anazeeka haraka kimtindo
Mkuu 9 mbona kidogo sana
Mkuu, Kama kwa mwanamke kunywa kunamkera mwanamme basi kunywa kwa mwanamme kutamkera pia mwanamkeHaipendezi kabisa mwanamke kunywa pombe.Kwa kweli nikisha ona mwanamke mnywaji wa pombe huwa namdharau sana na kama nilikua nina mpango nae for sure namtema mazima.
Zanzi not classic naomba utumie amarula leo bili kwangu... waiter
Haipendezi kabisa mwanamke kunywa pombe.Kwa kweli nikisha ona mwanamke mnywaji wa pombe huwa namdharau sana na kama nilikua nina mpango nae for sure namtema mazima.
Sipendi pombe na wala sipendi mwanaume anaekunywa pombe
tena nyie wanawake wa kichaga ndio kabisaaa........
duh nshakukosa.......