Hiyo kero na sisi hivyo hivyo kila mara kuomba kibumbu ukifumue na bado ukiache hakijakojoa mnajua maumivu yake? 😹Japo kiukweli inakera sana wanawake kuomba omba hela kila mara but nikijaribu kuvaa viatu vyao kuruhusu mwanaume kujitombeah **** bure pia inafikirisha sana.
Huyo anayekusumbua ujue unampa pesa, ujue wanawake ukitupa pesa lazima tuonyeshe moyo wa shukrani kupitia kibumbu 😹😹Vibumbu tunaoata raha wote tena nyinyi ndio mnatusumbua usiku tukiwa tumechoka
Kwani hiyo kitu inauzwa mwanaume anajisikia ufahari na furaha pale anapotoa pesa bila kuombwa. Unafanya kwaajili tu ya love sio deni, mizinga au kuuziana. Na mwanamke ambaya hauombiombi hunogesha mahusianona huyafanya yafike mbaliPenzi tunaomba, kwanini pesa tusiombe mkuu?
Karibu sanaNakuja tena
Samahani mkuu,ni wachache sana wanaojiongezaKwani hiyo kitu inauzwa mwanaume anajisikia ufahari na furaha pale anapotoa pesa bila kuombwa. Unafanya kwaajili tu ya love sio deni, mizinga au kuuziana. Na mwanamke ambaya hauombiombi hunogesha mahusianona huyafanya yafike mbali
Huna hela tuuuuuSINA HELA.
umefurahi sasa?
you are right Yes. Ndio umefurah sasa??Huna hela tuuuuu
Mkuu hapo bado kuna wale wanasema tuma hela mama kameza shokaWanaumeee!
Kuweni waagalifu na mifuko yenu!
Pita pita zangu huku na huko nimegundua kuwa wanawake wote ni sawa, na Afrika ni moja!
Nimeachana na ze chepukoz wa zamani, lakini naona niliyempata ni chepuko kabisa!
Ni chepuko la maana lakini mambo ni yale yale!
-anataka simu ya tachi,
-vocha iliisha hebu tuma salio
- simu yake nyingine ina deni, anaomba kumlipia
-kodi ya chumba mpenzi nilipie
-mama anaumwa, kalazwa
Halafu, hatujaonana siku mbili, ananimisi!
-Birthday yaje weeken
-ana deni la kikoba, tfadhali nimlipie
-anashinda njaa ofisini anaomba hela ya lunch
-dera jipya limetoka, fanya mpango
-sijasuka mtindo mpya, tafadhali nilipie
Hii ni balaa wanaume.
Sijui simu yake chepuko, ni block kwa muda?
Hili dongo la gizani 😂😂😂wanapewa kitumbua kimevimba na wanakiacha kimevimba vilevileHiyo kero na sisi hivyo hivyo kila mara kuomba kibumbu ukifumue na bado ukiache hakijakojoa mnajua maumivu yake? 😹
Dogo kubali tu kiroho safi huna hela.you are right Yes. Ndio umefurah sasa??
eeh!!!Dogo kubali tu kiroho safi huna hela.
Binti wa zamani Kwa heshima na taadhima nakuomba ubadilishe iyo pro file picture Yako, mwenzako mi nateseka usiku silali, hadi natamani nianze kufanya miamala na mimi🙈🙈😓🙌We iblock tu, ila nyege zikikukamata vizuri utaiunblock na hela utatuma 🤦🏽♀️
[emoji57][emoji57][emoji57]Wanaumeee!
Kuweni waagalifu na mifuko yenu!
Pita pita zangu huku na huko nimegundua kuwa wanawake wote ni sawa, na Afrika ni moja!
Nimeachana na ze chepukoz wa zamani, lakini naona niliyempata ni chepuko kabisa!
Ni chepuko la maana lakini mambo ni yale yale!
-anataka simu ya tachi,
-vocha iliisha hebu tuma salio
- simu yake nyingine ina deni, anaomba kumlipia
-kodi ya chumba mpenzi nilipie
-mama anaumwa, kalazwa
Halafu, hatujaonana siku mbili, ananimisi!
-Birthday yaje weeken
-ana deni la kikoba, tfadhali nimlipie
-anashinda njaa ofisini anaomba hela ya lunch
-dera jipya limetoka, fanya mpango
-sijasuka mtindo mpya, tafadhali nilipie
Hii ni balaa wanaume.
Sijui simu yake chepuko, ni block kwa muda?
Hahahaeeh!!!
Ni hapo sasa, kipochi kimesha sinyaa.[emoji57][emoji57][emoji57]
Mwanamke matunzo babu we acha ubahiri[emoji57]
😹😹😹Hili dongo la gizani 😂😂😂wanapewa kitumbua kimevimba na wanakiacha kimevimba vilevile