LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,446
- 12,227
Ni kwel ila sio wengi ujue. Mwingine akishajua una kitu ya ku care anaigeuza kuwa wajibu wa lazima.❤️Huu ndiyo uanaume sasa,afu mwanamke ukishamcare hata Mara moja anajua tayari huyu mtu ana utu hata kama huna
U know migogoro yangu na ex wife nina uhakika ilichochewa na mimi kuacha kazi na kuingia kwenye biashara. Tukapita kwenye transition period moja ambayo mpaka kesho huwa na appreciate mnooo the way ali hold on. But mwishon kabisaa ,yan tunavuka Yordan tuingia Kaanani akaishiwa pawa ndio kunianzishia mazongeee na matukio. Simlaumu. Ila baada ya mahakama kumaliza shauri letu nikamwambia neno moja "i dont blame you, ila nasikitika sana kuwa ume give up at a very very very wrong time. Yan ulichokifanya ni mistake na ni wrong timmimg, hili nakusikitikia".
Yan kitendo cha kuondoka tuuu , shwaaaaa!!!! Back in the game.
So unaweza ukaona kuna wanawake wengine hata kama anajua kuwa u use to care, but wana nature tu ya kuwa demanding regardless