Enzi zile mwanamke amepigwa na mumewe analia, akisikia tu hodii hodiii haraka sana anajifuta machozi na kuanza kucheka, wa siku hizi mbona ataenda kulilia kwa jirani ili dunia nzima ijue kapigwa au huyooo mahakamani. Hebu sasa tutumie uzi huu kutaja matendo ya wamama wa zamani ya kishujaa kama hili nililolitaja ili hawa watoto wa siku hizi kina miss neddy, DEMBA, mama la mama, miss chagga na wengine wajifunze.
Zamani unatongoza mwaka
mzima kupewa game mpaka miezi au mpaka uvizie mtoni ameenda kuchota maji
upige ka fasta tena amesimama ila wa siku hizi unatongoza asubuhi
mchana anakuja mwenyewe gheto mimi nawaita maharage ya
Mbeyamaji kikombe kimoja.
Wanawake wa zamani hata ukimuolea mke mwenza halalamiki, Lakini wa siku hizi hata kabla hujamuoa akisikia una kitu kingine patachimbika.
Wanawake wa zamani walielewa kuwa idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume, waliondokana na ile One to One function na wakaikubali ile ya One to Many function.
Nimesoma tu page ya kwanza nimechefuka....hivi watu bado wana mawazo ya hivi!! basi turudishe mambo yote ya zamani.
turudishe kuonea wanawake kwa kisingizio cha utiifu na upole. turudishe kuwapiga kwa kisingizio kuwa ni wadhaifu na wameumbwa kupenda kuonewa na wanaume.
turudishe kukeketa wanawake kuwapunguzia hamu ili mwanaume amiliki wanawake wengi na ili aone aibu kuwa na mwanaume mwingine, akae na mateso ya mumewe.
turudishe wanawake kuwa wamama wa nyumbani ili wawe mali ya wanaume na mume akifa arithishwe.
tuwanyang'anye haki zote za umiliki na ufanya kazi walizo nazo ili mwanaume aonekane ndo kila kitu bila yeye hamna kitakachoenda.
NYIE WOTE MNAOTETEA KUPIGWA NA KUONEWA KWA WANAWAKE, ILI MWANAUME AONEKANE YUKO JUU, KWA SABABU YOYOTE ILE, NI WAJING.A WAPUUZ.I WENDAWAZIMU WASENG.E.
HAMNA MAANA. MMEKOSA HESHIMA KWA SABABU HAMNA HADHI YA KUPEWA HESHIMA. MNATAKA KUTUMIA NGUVU KUPEWA HESHIMA.
KWANZA MTU ANAYENG'ANG'ANIA KUONYESHEWA UOGA ANA MATATIZO YA KISAIKOLOJIA. muende kutafuta counseling.
huyu ndo mfano wa wanawake wa siku hizi, mwanamke unaweza tukana hivyo? hata kama ungefanywaje hakuna aiseee.
Kweli walikuwa zamani bhana. Ukikamata mlupo, baada ya mkasi ukimpa pesa utasikia "kwani umeniona mi kahaba". Atazikataa katakata. Na huo unaweza ukawa mwisho wenu kwa kosa la kumpa pesa baada ya mikasi. Uliza kinachotokea siku hizi sasa!!!!!
unaona tatizo mwanamke kutukana lakini huoni tatizo mwanaume kupiga mwanamke kama mtoto...niambie ni vipi viwango vyako ni vikuu kuliko vyangu!!
Wanawake wa zamani hata ukimuolea mke mwenza halalamiki, Lakini wa siku hizi hata kabla hujamuoa akisikia una kitu kingine patachimbika.
Wanawake wa zamani walielewa kuwa idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume, waliondokana na ile One to One function na wakaikubali ile ya One to Many function.
ninavyofahamu hata iweje mwanamke si busara kutukana, hapa tunapiga story tu umetukana matusi yote, ingekuwa real je? mwanaume wako ana HASARA.
Au utaskia nawe si unafanya kazi...au si ujishughulishe upate za kwako utumie unavyotaka!! Wanaume wa siku hizi ni majanga, badala ya kuhudumia wanapenda kuhudumiwa instead...
heshima ya mwanaume ilitoa mwongozo
wenzenu waliijua stara ya kike.walijua kuwa na vifua!walijua stara ya ndoa zao!nyie mkikaa mnajadili wake zenu walivyowavalia vikuba vya asumin!mkichepuka mnasimuliana!mnakula mnaoga mnalala huko huko.ulizeni wenzenu walivohakikisha jogoo anawika akiwa ndani!