Wanawake walikuwa zamani

Wanawake walikuwa zamani

JEKI

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
4,845
Reaction score
2,966
Enzi zile mwanamke amepigwa na mumewe analia, akisikia tu hodii hodiii haraka sana anajifuta machozi na kuanza kucheka, wa siku hizi mbona ataenda kulilia kwa jirani ili dunia nzima ijue kapigwa au huyooo mahakamani.

Hebu sasa tutumie uzi huu kutaja matendo ya wamama wa zamani ya kishujaa kama hili nililolitaja ili hawa watoto wa siku hizi kina miss neddy, DEMBA, mama la mama, miss chagga na wengine wajifunze.
 
Mwanamke wa Zamani alikuwa ni Msiri sio Mpayukaji kama wa sasa,alikuwa mtihifu na mtitii kwa mumewe,ACHEPUKI HATA KIDOGO hapa natoa mfano kwa Mama mdogo wangu,ambaye mume wake alienda kenya kutafuta maisha alikaa miaka 9 bila kuwa na taarifa nae sisi tukajua kafa,gafla akaonekana kenya tuenda kumchukua alikuwa na Maisha safi huko,cha ajabu Mke wake alikaa kwa baba mkwe akilea watoto na kufanya kazi huku akilea watoto na alikuwa na adabu ile mbaya na uhakika ajawai kusaliti Ndoa yake,Mpaka leo wapo na wote mambo safi,Mke mwema hutengeneza familia nyema juzi mwanae kaolewa alipomaliza chuo Mume wake kaja katoa Sadaka kwa kumkuta BIKRA,BABA MDOGO UMEPATA MKE HONGERA SANA
 
Wanawake wa siku hizi lazima na wao wao waishi katika uhalisia, wanaume kwa asilimia kubwa wambadilika sio kama wa zamani pia, heshima hakuna, upendo hakuna, ubabe mwingi usio na sababu, na wengine wanatolea wake zao hata bastola kisa anayo. Sasa wewe mtu akutolee cha moto si ni kupiga yowe mpaka sauti ipotee
 
Zamani kuna kilichokuwa kinawaweka ndani, maana wanaume wa zamani vitatu vya kwanza ni mfululizo halafu vitatu vinavyofuata ndio kimoja baada ya kingine. Sasa hata akipigwa anajua yuko kwa mume, sasa mkuu siku hizi hata vijana wa miaka ya ishirini wanastress ya maisha, siku wakihitaji mpaka wapite kwa wamasai unategemea nini. Zamani mzee wa miaka 80 ana wake 7 na wote husikii mchepuko.
 
Ulofa na mfumo dume uliwafunika................Maumivu ya kichwa huanza taratibuuuuuuu...........................
 
Wanawake zaman unamkuta anamiaka 28 lakin bado bikra anaitunza heshima ya mumewe mtarajiwa lakin sasa hivi unakutana na cave, mwanamke zaman ilikuwa mwiko kujibizana na mume wake mbele ya watoto hata akipigwa akiona watoto wamekuja anajifuta lakn sasa hvi duu!
Wanaume wa zaman halikuwepo suala la kumfumania mkewe alikuwa ni aibu kwa mwanaume ndio maana baba kama anarudi nyumban usk alikuwa anaanzia mbali kuimba ili kama kuna mwiz akimbia
 
Zamani kuna kilichokuwa kinawaweka ndani, maana wanaume wa zamani vitatu vya kwanza ni mfululizo halafu vitatu vinavyofuata ndio kimoja baada ya kingine. Sasa hata akipigwa anajua yuko kwa mume, sasa mkuu siku hizi hata vijana wa miaka ya ishirini wanastress ya maisha, siku wakihitaji mpaka wapite kwa wamasai unategemea nini. Zamani mzee wa miaka 80 ana wake 7 na wote husikii mchepuko.

mkuu umenikumbusha stori na kijana mmoja mtaani, akilalamika yaani ana miaka 23 tu lakini hata kagori kamoja anakapiga kwa tabu sana halafu kanawahi, kapili anajivuta weeeeee, vijana wa sasa janga.
 
Zamani ni zamani tu wanaume walikuwa wanaonea wanawake wanapga kimya tofauti na sasa mwenyewe huwezi nionea nipga nikuache imposible
 
Zamani kuna kilichokuwa kinawaweka ndani, maana wanaume wa zamani vitatu vya kwanza ni mfululizo halafu vitatu vinavyofuata ndio kimoja baada ya kingine. Sasa hata akipigwa anajua yuko kwa mume, sasa mkuu siku hizi hata vijana wa miaka ya ishirini wanastress ya maisha, siku wakihitaji mpaka wapite kwa wamasai unategemea nini. Zamani mzee wa miaka 80 ana wake 7 na wote husikii mchepuko.

Mkuu umeua kabisaaaaa! mtu anapigwa anajiuliza kwa lipi? Alafu kazi ya kumtunza mke ilikua ya mwanaume sasa wasikuhizi wabahiri sjui wabinafsi.Mwanaume usipomuhudumia mkeo usitarajie utii.Mungu aliwapa uongozi sasa nyie mwataka heshima bila majukumu.
 
Wanaume walikuwa enzi hizo walijua majukumu yao ...decision making..kuwafikisha wake zao

Wanaume wa siku hizi chipsi yai...kulia lia tu hawana hela za kuhonga..

zamani walikuwa na hela za kuhonga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom