The Boss anaweza kuwa sahihi kwa upande mmoja lakini kwa upande wa pili akapoteza usahihi. Nasema hivi kwakuwa sifa nyingi alizozisema hapo juu kuwa wanazo wanawake wakubwa/wazee zinatokana na haya yafuatayo:-
1. Wamekata tamaa
2. Hawana cha kupoteza
3. Wameshapita kwingi kwahiyo wana uzoefu wenye ladha ya machungu
1. Wamekata tamaa
2. Hawana cha kupoteza
3. Wameshapita kwingi kwahiyo wana uzoefu wenye ladha ya machungu