Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
When?KATI YA 25-30, my ex was 31,
When?KATI YA 25-30, my ex was 31,
Wat do u mean kati ya 25-30??????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!KATI YA 25-30, my ex was 31,
wanawake wengi tunapenda kuwa na wanaume waliotuzidi umri......hii inakufanya ujisikie amani zaidi.....vitherengeti boys vinasumbua sana
U nailed bro. U can say that again and LOUDLY!!!!!!! TEH TEH TEH
tatizo we sio mnene.huwezi elewa lol
we hujuii???????
nenepa uone lol
Kuna mkaka ameoa mwanamke mkubwa wakigombana kidogo utamsikia mwanamke anasema 'niache na uzee wangu, niache'.
Nahisi wanawake hukosa furaha na ujasiri wanapoolewa na wanaume wadogo.
mbibi haswa, nahisi ana mvi. Hahaha! Sio mzee sana mwaya ila kwa kuwaangalia tu unaona tofauti. Mzma wewe?Husni umenchekesha sana! Yaonekana huyo mke ni mzee sana eh?..lol
mbibi haswa, nahisi ana mvi. Hahaha! Sio mzee sana mwaya ila kwa kuwaangalia tu unaona tofauti. Mzma wewe?