Mpatanishi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,812
- 623
Hajui huyu...ni mtoto wa shekhe huyu...
mashallah binti wa Sheikh,
ila sheikh yupi? Sheikh Yahya au?
Hajui huyu...ni mtoto wa shekhe huyu...
Hahahahaaaa angekuwa wa shekhe Yahya angeshatabiri wewe kum PM teh huyu wa kuleee ChakeChake
Teh shekhe wa bibie bi muelewa na hanaga hayo makitu kuwa huru kijana...lete posa faster
Kwani una Tembo card master card????
Hupati kitu...hamia kwa Jane000 ikampe chalenge Ousofia coz kiwango chako cha NMB kanamfit Jane000
Teh halafu watu wa vile ndo huwa wanawapata watu km wewe....hahhaaa ntacheka mpaka nizimie ikiwa hivyo
Sawa...basi nawewe toa uzi wa sound kwa Amy km Ousofia
Ngoja ntakusaidia tukishindwa Kongosho na Bishanga watatusaidia....uje hapa nilipo uongee nae coz niko naehaah haaah mm nina strategy za ukweli bana, hiyo ya uzi ni mpaka nifikie step 3.sawa mkuu, uzi utakuwepo tu ila ww nibembelezee bana lol au nimtumie Kongosho?!
Enhe nimerudi mwenyewe, mniambie yaliyojiri humu..